Kumbee anatuchora
Morning Darmian
Anadai vyuma vimekaza, mtafutie griseKumbee anatuchora
Hahaha, akuu atafute mwenyewe [emoji23]Anadai vyuma vimekaza, mtafutie grise
Vibaya hivyo,kwema kabisaHahaha, akuu atafute mwenyewe [emoji23]
Kwema lakini?
[emoji23]kila mtu apambane na hali yake [emoji23]Vibaya hivyo,kwema kabisa
habariza asubuhi!?
😳Sasa kwa namna hiyo Tanzania ya viwonder tutaijenga kweli[emoji23]kila mtu apambane na hali yake [emoji23]
Salama kabisa.
[emoji23]Tutaijenga endapo kila mtu atapambana kulainisha vyuma bila kutegemea kulainishiwa😳Sasa kwa namna hiyo Tanzania ya viwonder tutaijenga kweli
Aisee! kumbe basí mimI nilikua nafikiri tofauti, ila jamaa ujumbe umemfikia naona anasoma kimya kimya[emoji23]Tutaijenga endapo kila mtu atapambana kulainisha vyuma bila kutegemea kulainishiwa
Nahisi ashapata namna ya kulegeza vyumaAisee! kumbe basí mimI nilikua nafikiri tofauti, ila jamaa ujumbe umemfikia naona anasoma kimya kimya