Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa upo Active🤣🤣View attachment 3266007
If you know,you know 😂
Kama umeme wa juaWe jamaa upo Active🤣🤣
Hao ni wagonjwa, laiti kama mngeingia kwenye derby basi msingekuwa na hao watuTunafunga mziki kulingana na ukubwa wa sherehe.
Sasa TMA nayo ulitaka tuifungie buster??
Sema kiongozi kila sehemu upo.Leo nataka kuuliza tu sio kwako ata kwa wengine,hivi energy ya kuzunguka kila jukwaa humu mnapata wapi?maana kila kona kuna watu huwezi kosa wamelike post karibu zote,wametoa maoni asee mnaogopesha sana.Now you know😹
Sema kiongozi kila sehemu upo.Leo nataka kuuliza tu sio kwako ata kwa wengine,hivi energy ya kuzunguka kila jukwaa humu mnapata wapi?maana kila kona kuna watu huwezi kosa wamelike post karibu zote,wametoa maoni asee mnaogopesha sana.
Maneno tu yale na siku zote kwenye Derby tumekuwa tukiyaona yakisemwaHao ni wagonjwa, laiti kama mngeingia kwenye derby basi msingekuwa na hao watu
Kwa hiyo ulitegemea kuona Simba inaenda full mkoko kwenye mechi dhidi ya TMA?Ushabiki kazi ngumu
Mtoto mdogo pekee ndio haelewi
Wakawatuma mabaunsa WA Yanga wawazuie kuingia kukagua uwanja😄😍Watu walisoma mchezo mapema wakaona kuna goli 7