Cameroon hawana timu ya kuchukua AFCON ijayo

Nimefall kwa Cameroon, haiwezi kuniua ila cha moto nitakiona...
Ili goal moja moyo unaniuma
Sasa ephen_ na ujanja wako wote Cameroon Hawa wa Nini? Nakupa chama Moja linaitwa Mali huwezi jutia
 
🀣🀣
 
Nitafatilia match yao ijayo, wanacheza lini
Kesho saa 5 usiku tupo na tunisia, binafsi baada ya Kuona mechi Yao na south Africa walioshinda 2-0 nikaamua kwenda naoπŸ˜ƒ
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘
Damn right...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…