Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwani hana vyeti kama yule wa simba?
ngoja tuoneAtajifunzia hapo hapo kwenye team
Baada ya Senegal Marastaman wamepanda chart.View attachment 2134454
Hii ndio taarifa iliyosambazwa na shirikisho la soka la nchi hiyo , kwamba Song sasa ndio kocha mpya !
Ukweli ni kwamba achilia mbali kwamba uzoefu wa Song kwenye ukocha unatia shaka , lakini tabia yake ya ubabe uwanjani pia ni changamoto , Ukocha si kufundisha pekee , bali ukocha ni uongozi pia , mashaka yangu ni juu ya uwezo wa uongozi wa huyu " Msela " Song , Je anaweza kusimamia ndhamu ya timu ?
Kifupi aliwahi kuwa nahodha wa wasio fugika kwa hiyo masuala ya uongozi hayata mpa tabu labda kiufundi mwisho hakuna alie zaliwa akiwa kochaAtajifunzia hapo hapo kwenye team
Kwani Arsenal wapo serious na ubingwa?Hata Mikel Arteta ulituambia hawezi na atafukuzwa, ajabu anaongezwa mkataba.
Kwanini mkuu, kwani eto'o anakosa ganNilijua Etoo atakuwa tofauti na viongozi wetu wa hovyo wa Vyama vya Mpira kumbe na yeye ndio wale wale.
Swali la msingi sana hili, nami simtaki kabisa.Nilini simba watamtimua pablo.