Camouflagers na informers

 
Kaka Mshana hivi unaweza eleza chochote kuhudu rais Nkurunziza wa Burundi aliponusulika na kupinduliwa nini kilifanya zoezi lile lililopangwa kwa msaada wa kagame ( inasemekana ) ku '' fail ''
je ni kweli kama inavyosemekana kua TISS ndio walio okoa jahazi na kumrudisha Pierre Bujumbura?

Na kama ni kweli walihusika ni kwa faida ipi?
Ukinijibu i ll feel proudly
 
LOVE U JF... Hilo ni jambo ambalo lilihusu mataifa mengine na sisi tukahusishwa (pengine) kwa kiasi fulani sina hakika sana na hili... Lakini hata kama ingekuwa ni kweli ni ngumu habari kama hizi kuandikwa kwenye open forum mpaka upite muda mrefu sana
 
Poa inawezekana kweli kwani mimi simjui zaidi ya kumuona kwenye hiyo picha
Always rais akienda sehemu halafu akapiga picha,wale waliopo pembeni yake huwa sio RAIA wa kawaida..ingawa macho ya watu wataona ni raia tu,lakini sio.
 
Always rais akienda sehemu halafu akapiga picha,wale waliopo pembeni yake huwa sio RAIA wa kawaida..ingawa macho ya watu wataona ni raia tu,lakini sio.
Hata huyo muuza bangi ni walewale tu
 
Acha uongo mkuu
Always rais akienda sehemu halafu akapiga picha,wale waliopo pembeni yake huwa sio RAIA wa kawaida..ingawa macho ya watu wataona ni raia tu,lakini sio.
 
Binadamu unafanya yooote hayo upo zako bafuni unaanguka unapalarazi unakuwa kitandani wanakubadikisha pampers tu.
 
Kama ni wanaridhaa(amateurs) wataacha alama ila kama ni wajuzi (professionals) kutrace alama zao ni kazi moja kubwa sana

Jr[emoji769]

Haipo crime mission duniani ambayo inaweza ikafanyika halafu ikawa 100% fool proof, na kama ikitokea hivyo basi ujue kuna interaction ya nature, kwamba wakati mission inafanyika, ilitokea natural incidence ika-coincide na tukio lenyewe na hivyo kulifanya lisiwezekane tena kutambulika kwa akili ya kibindamu.

Tukio la D.B. Cooper, the SkyJacker ambalo FBI bado wanazungusha akili hadi leo, mimi nina-suspect kuwa linaweza kuwa katika aina moja ya matukio ninayoongelea hapa, kwamba wakati D.B. Cooper anatekeleza mission yake, lilikuja likatokea tukio natural ambalo hata yeye mwenyewe hakuwa amelitarajia, na hivyo kui-affect mission yake nzima na kumfanya aonekane kama alipanga tukio ambalo binadamu hawezi kuling'amua, kumbe hapa nature nayo iliingilia kati na kumfanya apate credit zaidi.

Kwenye lugha yetu kuna msemo ambao tafsiri yake kwa kiswahili inasema hivi: SISIMIZI HUTEMBELEA CHINI ARDHINI, ukiwa na maana kuwa unaweza ukafanya crime somewhere katika mazingira ambayo unakuwa uko peke yako kabisa na wala hakuna mtu anayekuona.

Na si kwamba unakuwa uko peke yako kwa sababu unakuwa huwaoni watu wakati wapo hapo ulipo, hapana, yaani katika uhalisia ni kweli kabisa unakuwa uko peke yako na hakuna mtu anayekuona, lakini kile ulichokifanya kitakuja kujulikana na utadhani kuwa wakati unafanya tukio, kuna SISIMIZI alikuwa amekufuata mpaka eneo la tukio, ukafanya tukio akiwa anakuona na wewe ukiwa humuoni, na hatimaye SISIMIZI akarudi tena kule ulikotka naye na akaenda akatoa taarifa zote bila wewe kujua! Narudia tena, hakuna Crime mission unayoweza kufanya halafu ikawa 100% fool proof.
 
Usimwamini mtu yeyote, zaidi ya wewe mwenyewe, wapo kila mahali, na ni ngumu kuwatambua. Chunga sana ulimi.

Hata muokota makopo simuamini.

Lakini sasa na sisi binadamu, tuwe tunaishi maisha ya uhalisia wetu. Yaani inakuwa kama hawa watu wasingekuwepo, tungeweza kuwa tunasema chochote kile tunachoweza kusema, ila wao ndiyo wamesababisha tusifanye hivyo.

Ukiona una tabia ya kuchunga sana ulimi wako, ujue una tatizo na inabidi ulifanyie kazi na inamaanisha kuwa ukiwa huru katika mazingira yako, unaweza kuwa criminal. Wazungu wana msemo wanasema kuwa MAN'S REAL CHARACTER IS "WHAT HE WOULD DO IF HE KNEW HE WOULD NOT BE FOUND".

Binadamu tunatakiwa kuwa na tabia ambayo inabidi ufiche machache sana, na ikiwezekana yale ambayo ni ya maisha yako binafsi tu, na ambayo ni mema pia. Ukiona unaficha mengi sana na unachunga sana ulimi wako, ujue UKO NEGATIVE, KWAKO NA KWA WATU WENGINE PIA wakiwemo viongozi wako na ndugu zako pia!
 
Unatoa siri za watu eeh!
So yule mama aliyemuuzia anko magu matunda kule bandarini alikuwa mzugaji?
 

Inasemekana kuwa wanawake wawili waliosababisha kifo cha mdogo wa Mh. Rais wa Korea ya Kaskazini kwa kumpaka sumu usoni akiwa uwanja wa Ndege, hawakujua kuwa walichokuwa wanampaka usoni ni ilikuwa ni na sumu ambayo ingeweza kusababisha kifo chake; na wala pia hawakuwa na nia ya kuondoa uhai wake, ila inasemekana kuwa walikuwa kwenye michezo yao ya kuigiza or something similar!
 
Ulifanya blunder ni utoto! Next time ukaona kitu kama hicho, kaa kimya!
 
Absolutely.

Umenikumbusha mbali sana.

"Locard Exchange Principle".

Trace huachwa ili kutumika ku-track jambo lililolengwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sahihi sana locard's principle inadai hivyo na ......
Proudly sponsored by
RUDI NYUMBANI KUMENOGA!


Jamaa aliondoka kwenye crime scene na jani la mti lilidondokea kwenye cabin ya pick-up yake. Na hili wanakiri kuwa ni tukio ambalo kwa mara ya kwanza DNA ya mti ilitumika kama ushahidi mahakamani na kumtia hatiani mtuhumiwa. Kabla ya hapo, DNA ya mti ilikuwa haijawahi kutumika, isipokuwa ya binadamu tu.

Hawa jamaa huwa wanatumia akili kubwa hadi huwa inanipa maumivu mwilini nikianza kufikiria wanavyofanya kazi! Acha kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…