Camouflagers na informers

Mkuu mshana hii mada ilinipitaje Jamani? Ebu agizia chochote nitalipia
 
Ndio maana nikaweka kipengere cha pili kwamba kutambua/kugundua hizo alama itategemea sana ubobevu, taaluma, na uzoefu wa hao wafuatiliaji wa alama.

Tukirudi kwenye mada, hata humu jamvini ni kuwa makini tu. Iwe mtaani au popote pale.
The monk himself
 
MaJee.....MaJiii, MaJay......Majizoooooo[emoji350], hii jingle unaikumbuka miaka ile Magic FM iko na moto hataari!!!! sijui kwanini kumbukumbu ya vitu vilivyopita vimekuwa vikivutia kuvirudia kuliko hivi vya leo[emoji55]
Ni dalili za kuzeeka.,[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Pia watu hao hutumia mada kamahiz kuchokonoa na kujua jamii inawatu wa ainagan na uelewa Wao. Soma katikati ya mstari upya uelewe. Mi nimemaliza ahsanten
 
Pia watu hao hutumia mada kamahiz kuchokonoa na kujua jamii inawatu wa ainagan na uelewa Wao. Soma katikati ya mstari upya uelewe. Mi nimemaliza ahsanten
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…