Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
wanahitaji mchango kwa ajili ya hayo matangazo,tehe tehe tehe.
Vp mzee mtaalam nn wa Ads tuletee kama ya GOP .........................................utani bana subiri wenye majibu watakupatia Nyani.
Kikwete ana gaffes nyingi sana kiasi kwamba amerahisisha kazi ya kum-swift boat.....hiyo kama akipatikana mtengenezaji mzuri wa matangazo na kama vyombo vya habari havitaogopa kuyarusha.
Ngabu
Sidhani kama watakosa matangazo, ila dubwasha limeshachukua almost mitaa yote jijini kwa matangazo yao, unadhani CHADEMA wataonekana kweli bila hata billboard moja?
Nadhani ads the billboards ndizo zita wafikia watu wengi zaidi na kwa urahisi zaidi. Kwa mfano ukiweka billboards kadhaa mitaa ya Mwenge mpaka Posta hile ni barabara ya wafanyakazi kwa hiyo watu wataziona karibia kila siku mara mbili. Pia billboards hazina muda maalumu kama t.v. na radio muda wowote zipo na kila anaye pita ata ziona. Ukienda kwenye makampuni mazuri ya hizi billboard ads una fanyiwa project moja nzuri tu.
nchi inavyoendeshwa na wanafiki hii ...........tv wataambiwa air time yote imeshauzwa, hakuna slot.
Mwaka huu umekosa kabisa shamrashamra za kampeni. Hata mabandiko huko njiani ni machache sana. Nadhani takukuru nao wamechangia
Hivi CHADEMA wamejiandaaje kuhusiana na kutengeneza matangazo mafupi mafupi ya kampeni ambayo yatarushwa na vituo vya televisheni na redio?
Ningependa kujua kama kuna wanaojua.
..
..lingine unaweza kuweka zile gaffes zinazochukiza kama aliposema mimba za wanafunzi zinatokana na viherehere vyao. mwisho wa tangazo kama hilo unamaliza na "KIKWETE ashindwe alegee," simultaneously unaonyesha kideo cha kulegea na kuanguka pale jangwani.
Kama ndio havyo basi kuna umuhimu wa kuwa na angalau sheria inayofanana na 'equal time rule'.....(hii kama hatuna sheria ya hivyo)
Hivyo kama kukosa wakose wote na si wengine wapate halafu wengine wawekewe vizingiti vya kusingizia
Ngabu said:Hahaha JokaKuu umeniacha hoi. Ila hiyo ya kushindwa na kuelegea is a bit too much coz the guy is clearly not well and it wouldn't be right to use his illness for political advantage....
Ila umenichekesha