G Gulwa JF-Expert Member Joined Jun 16, 2008 Posts 10,597 Reaction score 16,394 Jul 21, 2012 #1 Nimeona wanaharakati wakihimiza watu kutahiriwa ili kujikinga na maambukizi ya ukimwi. Wengi wanaminishwa kuwa tohara ni kama chanjo, matokeo yake wengi hasa vijijini watafanya ngono zembe kwa.kasi mpya. Balaa
Nimeona wanaharakati wakihimiza watu kutahiriwa ili kujikinga na maambukizi ya ukimwi. Wengi wanaminishwa kuwa tohara ni kama chanjo, matokeo yake wengi hasa vijijini watafanya ngono zembe kwa.kasi mpya. Balaa