campaign ya tohara ni jangaga

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Nimeona wanaharakati wakihimiza watu kutahiriwa ili kujikinga na maambukizi ya ukimwi. Wengi wanaminishwa kuwa tohara ni kama chanjo, matokeo yake wengi hasa vijijini watafanya ngono zembe kwa.kasi mpya. Balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…