Can A Husband Forgive Wife Caught In Adultery??


Mkwe sitegemi haya kutokea kwa mwanangu ati ..ni magumu sana kuyatatua
 
Mwambie tu mwenzako ujuzi wako mdogo ndio maana nimejiiba, utasamehewa. Wanaume hawapendi kuambiwa ukweli kama game yao hafifu kitandani. Ataona aibu, Lol
 
Hayo ya akicheat utamsamehe tu yaseme hapa hapa JF na ombea naye asiwepo maana akikusikia anaweza kutafsiri kuwa ndo umempa green light.

Na hadi uchitiwe mara ngapi ndo utakoma kusamehe? Au wewe utakuwa samehe samehe tu kila itokeapo?
Ukiona mwanaume anamkamata mkewe akicheat and then anasamehe huyo sio mwanaume kamili (biologically of course!) we were not built like that!!
 
Ukiona mwanaume anamkamata mkewe akicheat and then anasamehe huyo sio mwanaume kamili (biologically of course!) we were not built like that!!

Kwahiyo unataka kuniambia kuwa mwanamke akimkamata mume wake akicheat akamsamehe huyo sio mwanamke kamili????? Au mkeo akikukamata unacheat na akakusamehe mkeo sio mwanamke kamili si ndio????
 
Linapokuja swala la mafumanizi ni raisi sana kusamehe mwanaume anapotoka nje kuliko mwanamke kwasababu mwanamke hawezi kufanya mapenzi na mwanaume yeyote from nowhere. Mara zote atafanya mapenzi na mwanaume anayempenda au Kama anataka kitu kutoka kwake.

Wakati mwanaume atatoka nje atachuku Malaya atafanya mambo yake ataondokoa.

Hichi kitu cha kutokusamehe mwanamke anapotoka nje ya ndoa jalna wanaume wameumbwa navyo.
 
Wanaume watende wao tu wakitenda wanawake wamekosa amsamehe maisha yaendelee mbona sie tunawasamehe? Na sie mara moja moja si mbaya sana aaakkk haki sawa kwa wote
 
mwanaume anaweza kusamehe....!

i heve seen it happening
 
ili ujue uchungu wakuliwa mkeo fikiria hili " Kwa nini jamaa wengi huuliwa au kujeruhiwa kwa kuchukua mke wa mtu? na sijawahi sikia mwanamke kauliwa kwa kuchukua mume wa mtu? Kwa nini sentensi hii hutumika sana " Mke wa mtu ni sumu?" "
Hapo ndo utajua kuchukuliwa mkeo ni chungu kuliko maelezo na msamaha ni finyu na unaweza usiwepo kabisaaaaaaaaaa
 
Wanaume watende wao tu wakitenda wanawake wamekosa amsamehe maisha yaendelee mbona sie tunawasamehe? Na sie mara moja moja si mbaya sana aaakkk haki sawa kwa wote

Tatizo kama hamjutumia hata kinga na kesha kunyunyizia dripu ya maji yake ambayo hata nikikusamehe yatakuwa bado mwilini mwako unatembea nayo
 
Hivi kusamehe maane yake nini hasa? Au kutokusamehe maana yake nini? Unatakiwa ufanye nini ili kutimiza mmoja wapo kati ya hayo (kusamehe au kutokusamehe)?
 
Kuna mkasa umetokea mtaani kwetu mwanaume kazimia mpaka hivi sasa sijui akiamka kutoka kwenye Coma sipati picha
I wish haya mambo ya Infii yasingekuwepo kwa nini kutesana hivi
With all sincerity i doubt if any man can...

Kama yeye ameshawahi kutoka Nje ya Ndoa, namshauri amsamehe tu na ajifunze kwamba haya Mambo huwa yanaumiza both ways, Ila kama hakuwahi hata siku moja kutoka nje ya Ndoa kwa kweli sina cha Kumshauri nitakubaliana na uamuzi wowote atakaouchukua lakini siyo kuua
 

Hata mme wa mtu mchungu bana
 

ingekuwa ni mwanaume angekimbilia home mje muyamalizie home, mwanamke katowekea kuckojulikana na mwanaume hataki kumtia machoni kwasasa,...ndio ndoa hizi...nakubaliana na wewe kabisa kuna mambo mengine wanawake yatupite jamani....mie naogopa hii ishu haki ya nani!
 
Wanaume watende wao tu wakitenda wanawake wamekosa amsamehe maisha yaendelee mbona sie tunawasamehe? Na sie mara moja moja si mbaya sana aaakkk haki sawa kwa wote

Dena ucdhubutu....hawa wenzetu wazoefu wa haya mambo, na jamii inawalinda, wewe likikutokea cha kutokea utakuwa mgeni wa nani? ni kujitakia pressure tu, mie ctaki hata kufikiria hii kitu coz nadhani angezinduka angenikuta mie nimeshafariki....kuna wanawake wana mioyo jamani, wengine tungekamatika kwa hofu tu..khaa cpati picha kabisa, na cjui mwanamke una enjoy vipi hii kitu wengine wac wac mtupu hata hufurahii unachofanya.....hapana kabisa!
 

yaani hii ishu ni tata, anaweza akawa anatoka kweli kweli, lakini ishu hujawahi hata kuhic kwa mbali kama anafanya, hii akute live, hata mie nicngetaka ndoa kabisa hapo, ningehic kuna plan anaitengeneza kunimaliza kimya kimya...lol...
 
Kuna mkasa umetokea mtaani kwetu mwanaume kazimia mpaka hivi sasa sijui akiamka kutoka kwenye Coma sipati picha
I wish haya mambo ya Infii yasingekuwepo kwa nini kutesana hivi
With all sincerity i doubt if any man can...

Kutokana na mazingira ya sasa (ya magonjwa) si wezi kusamehe maana ni kuhatarisha usalama wako. Lingine kama na wewe unamfanyia mwenzako hivyo hapo unaweza kumezea kwani ngoma droo. Matthew 5:32 says: However, I say to YOU that everyone divorcing his wife, except on account of fornication, makes her a subject for adultery, and whoever marries a divorced woman commits adultery.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…