Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
For the next four years to come at least three states will cause chaos and instability in teh United States of America whereby both local and international terrorists will take advantage to sabotage the just confirmed president elect Joe Biden.Kwa Trump kuwahimiza wafuasi wake wavamie Congress ili isimpitishe Biden kuwa Rais, je Trump anaweza kushitakiwa kwa uhaini?
Wanasheria tupeni maoni yenu kwa hili.
Zimeibiwa na nani?Nimepata fursa ya kuzungumza na jamaa yangu mmoja yupo huko jambo la ajabu Sana ambalo amelizungumza ingawa Sina uhakika nao Sana ni ;
1. Kura zimeibiwa kweli.
2. Trump kafanya reforms nyingi Sana kwa muda mchache aliokaa Ikulu ya marekani zaidi ya Rais mwingine kwa kipindi cha karne moja iliopita.
Anyways waliopo huko wanajua zaidi ya sisi tulioko hapa.
Basi tufanye wewe unajua kila kitu na upo sahihi.Zimeibiwa na nani?
Kama wewe ni Rais uliyeko madarakani mwenye nguvu na mamlaka yote ya kuzuia uvunjivu wa sheria na haki za watu, huku ukiwa nawe ni mgombea wa nafasi hiyohiyo unawezaje kulalamika kuwa umeibiwa kura huku ukiwa huna hata ushahidi mkononi?
Acha uongo, malalamiko ya Donald Trump ni "vain" hayana ushahidi wowote na kila mahakama alikokwenda kufungua kesi ili kujaribu kupindua matokeo ya ushindi wa Biden, alishindwa kuthibitisha kwa kuonesha ushahidi wowote ule...
Huyo jamaa yako mwokota makopo na mfagizi wa barabara uliyezungumza naye sidhani hata kama alipiga kura ama kujua hata utaratibu wa uchaguzi wa USA, sasa anawezaje kukuambia kuwa kulikuwa na wizi wa kura?
Mnadhani USA ni Tanzania ya Magufuli mwizi wa kura siyo?
Naomba unioneshe manano aliyosema kuwahimiza watu wafanye vuruguKwa Trump kuwahimiza wafuasi wake wavamie Congress ili isimpitishe Biden kuwa Rais, je Trump anaweza kushitakiwa kwa uhaini?
Wanasheria tupeni maoni yenu kwa hili.
kama huna jibu pita tu! education qualification? maana muda mwingineNaomba unioneshe manano aliyosema kuwahimiza watu wafanye vurugu
Yani nachukiaga sana kuona watu mnakuwa nrain washes kirahisi hivi, tumshukuru raisi wetu magu sio mtu wa kubrain wash kirahisi lasivyo tungekua lockdown saizi
Tumia akili yako, sio kila unachoambiwa unakiingiza tu bila kutafakari
Marekani sio kama Afrika,huwezi iba kura ukaangaliwa,isitoshe mfumo wa uchaguzi wa Marekani ni tofauti na wa kwetu majimbo ndio yanafanya uchaguzi, na majimbo yamegawanyika yapo ya Democratic na mengine ya Republicans, Biden ameshinda mpaka majimbo ya Republicans.Nimepata fursa ya kuzungumza na jamaa yangu mmoja yupo huko jambo la ajabu Sana ambalo amelizungumza ingawa Sina uhakika nao Sana ni ;
1. Kura zimeibiwa kweli.
2. Trump kafanya reforms nyingi Sana kwa muda mchache aliokaa Ikulu ya marekani zaidi ya Rais mwingine kwa kipindi cha karne moja iliopita.
Anyways waliopo huko wanajua zaidi ya sisi tulioko hapa.
Wewe umelipia kiasi gani tuanzie hapaKawatafute ofisini kwao wakupe maoni yao na uyalipie mkuu. No free lunch kwa mwanasheria. Anakupa maneno nawe unampatia pesa.
Very elementary logic, my friend. Kesi zaidi ya 60 katika mahakama mbalimbali ikiwepo Mahakama Kuu iliyokuwa na watu wake. Wote wamesema hakuna ushahidi. ZOTE!Nimepata fursa ya kuzungumza na jamaa yangu mmoja yupo huko jambo la ajabu Sana ambalo amelizungumza ingawa Sina uhakika nao Sana ni ;
1. Kura zimeibiwa kweli.
2. Trump kafanya reforms nyingi Sana kwa muda mchache aliokaa Ikulu ya marekani zaidi ya Rais mwingine kwa kipindi cha karne moja iliopita.
Anyways waliopo huko wanajua zaidi ya sisi tulioko hapa.