Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
[emoji4] [emoji4] rubii acha hizo basiiiSponsors fursa hiyooo mtoto mbichiii
Angekuwa rubii mimi ningejitosa!!Sponsors fursa hiyooo mtoto mbichiii
Unapatikana wapiCan someone lend me 200k?, we will get to know each other then tutapatana nirudishe mkopo kidogokidogo kama ukipenda.
I'm a young girl..sina mtu specific wa kumtegemea.na umri unaenda..i need to start my business mradi niwe najihudumia mwenyewe mahitaji yangu muhimu than being dependent to my relatives navnina ndoto za kufika mbali..kwa kujiajiri sio kuajiriwa.na sipendi kuwa na mwanaume halafu namuomba hela
Hata nkija kuolewa sitapenda kuwa dependent..
Atakaenielewa aje pm..ama niite pm.
Shukrani.
[emoji4] [emoji4] rubii acha hizo basiii
darUnapatikana wapi
Uko wapi? ha ha ha haaaa!!Teh! Karibu sana
Sasa unafikiri kila mtu anaweza kuendesha biashara ya 200m?Unataka kujiajiri alafu unaomba laki mbili?
Njoo PM...
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]. Muache mtoto atafute maisha.Sponsors fursa hiyooo mtoto mbichiii
hahahhaaa mweka hazinaa...Mungu akipenda sitokuangushaTeh Chezea fursa wewee... kila la kheri mamy utapata zaidi ya hiyo 200k ila ukihitaji mwekahazina nipo available
Heshima yako boss wangu...Sasa unafikiri kila mtu anaweza kuendesha biashara ya 200m?
kwani kujiajiri kunaanzia sh ngap kaka?Unataka kujiajiri alafu unaomba laki mbili?
Njoo PM...