Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
- Thread starter
-
- #21
nnayo business plan but ntaanza kidogokidogo...we unaweza ukaanza nishara au mradi usio na uzoefu nao kwa 50 million?sa 200k utaanza biashara gani? eleza upo wapi mimi nikuajiri usimamie mradi wa ufugaji kuku, au saluni kimoja wapo
Unataka kujiajiri vipi kwanza? Kama ni formal business hiyo laki mbili itaishia Manispaa na TRA pekee.. Tena yaweza hata isitoshe. Kama ni informal labda ufanye za uchuuzi na udalali.. Ununue nyanya Mabibo uuze Tegeta..kwani kujiajiri kunaanzia sh ngap kaka?
Sasa unafikiri kila mtu anaweza kuendesha biashara ya 200m?
Hebu toa mchanganuo wa hiyo biashara utakavyo iendesha kwa 200,000 na faida yake, usione aibu ukitoa tu mchanganuo nikaridhika nitakuagiza uni pm jinsi ya kukupatia sio kukukopesha hicho kiasi.Can someone lend me 200k?, we will get to know each other then tutapatana nirudishe mkopo kidogokidogo kama ukipenda.
I'm a young girl..sina mtu specific wa kumtegemea.na umri unaenda..i need to start my business mradi niwe najihudumia mwenyewe mahitaji yangu muhimu than being dependent to my relatives navnina ndoto za kufika mbali..kwa kujiajiri sio kuajiriwa.na sipendi kuwa na mwanaume halafu namuomba hela
Hata nkija kuolewa sitapenda kuwa dependent..
Atakaenielewa aje pm..ama niite pm.
Shukrani.
Wewe hata milioni njoo....🙂🙂nikopeshe na mimi laki.... tutakubalina namna ya kulipana
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]. Muache mtoto atafute maisha.
Heshima yako. Umeona mbali zaidi.Heshima yako boss wangu...
What I meant is, she is focused na anajua anachokifanya. 200k kwa watu 20 ambao possibly anaweza kuwapata humu ni 4 Million. Sasa jinsi ya kuwaaccomodate hao watu 20 ndiyo shida. Swali langu lilikuwa la mtego flani hivi...
Shukrani Rojan Rondo...Heshima yako. Umeona mbali zaidi.
ha ha ha ngoja nichangamkie fursa 🙂Wewe hata milioni njoo....🙂🙂
Maybe nikufafanulie pm.hapa kuna wale mazuzu wataanza kunikoromeaHebu toa mchanganuo wa hiyo biashara utakavyo iendesha kwa 200,000 na faida yake, usione aibu ukitoa tu mchanganuo nikaridhika nitakuagiza uni pm jinsi ya kukupatia sio kukukopesha hicho kiasi.
Milioni kitu gani maisha yenyewe haya haya....🙂ha ha ha ngoja nichangamkie fursa 🙂
i hope so...na nina uaminifu 100%I hope utapata hiyo pesa tatizo la wabongo sisi uaminifu 0
Mtu unampa pesa vizuri kwenye kulipana mnaishia kuwa maadui
Taratibu!!!!! usituharibie bahati zetu,Watakufanya na hela za kukupa pia hawana; shauri yako;