Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
If only there were more people like you in the world it would be a much better place 🙂Milioni kitu gani maisha yenyewe haya haya....🙂
Fine, ingawa hapa pangekua bora zaidi.Maybe nikufafanulie pm.hapa kuna wale mazuzu wataanza kunikoromea
watanifanya nini mam??? mi sio fala au mtoto niingie chumbani na mwanaume nkijua nia yake.na wala sijawah kumpa mwanaume uchi wangu for money..Watakufanya na hela za kukupa pia hawana; shauri yako;
[emoji23] [emoji23]Najaribu kuwaza tu hapa,hivi bahati mbaya huu uzi angeuanzisha mtoto wa kiume{japo hatuna uhakika kama huyu ni wa kike au wa kiume}huku kujali kwa upande wake kungekuwepo kweli?!maana hapa mara njoo Pm,mara uko wapi yaani alimradi watu wana hamu ya kumsaidia!sawa wakuu nendeni mkanyonywe damu.
ngoja nikae pembeni nisome response za sponsors...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji33]
huyu dogo atakuja kuwa playboy hatari
Nadhani hajakosea. Anaana biashara mdogo mdogo then anakua taratibu based na anachikifanya! Nadhani yuko njia sahihi.Unataka kujiajiri alafu unaomba laki mbili?
Njoo PM...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]huyu dogo atakuja kuwa playboy hatari
Njoo pm. Bila shaka nitakupaCan someone lend me 200k?, we will get to know each other then tutapatana nirudishe mkopo kidogokidogo kama ukipenda.
I'm a young girl..sina mtu specific wa kumtegemea.na umri unaenda..i need to start my business mradi niwe najihudumia mwenyewe mahitaji yangu muhimu than being dependent to my relatives navnina ndoto za kufika mbali..kwa kujiajiri sio kuajiriwa.na sipendi kuwa na mwanaume halafu namuomba hela
Hata nkija kuolewa sitapenda kuwa dependent..
Atakaenielewa aje pm..ama niite pm.
Shukrani.
na ulaaniwe ukimgonga huyu mrembo na usimpe pesaTaratibu!!!!! usituharibie bahati zetu,
majority ya watz tunawaza ngono tuu..ndo mana maisha yanazid kuwa magumu...ukiamka ngono...usiku ukiingia ngono...ukilala ngono...mchana kazini pc mnaperuz mambo ya ngono...Kweli waya mkali....Dada unaomba lakimbili hujui kuna mabazazi hapa au ndo staili mpya yaa uuzaji kujidai kama huuzi ..
yaan wewe...natamani wanaosoma hapa wangekua kama wewe...napata tabu kuwaelewesha.Nadhani hajakosea. Anaana biashara mdogo mdogo then anakua taratibu based na anachikifanya! Nadhani yuko njia sahihi.
alete tu jina lake huku na maombi tutafanyana ulaaniwe ukimgonga huyu mrembo na usimpe pesa