Can Tanzania become a middle income country in 2050? Big NO

2050 nchi zote duniani zitakuwa zimesha endelea
 
2050 nchi zote duniani zitakuwa zimesha endelea

ni vigumu. kuwa na uchumi wa dolla trillion moja! kutoka billioni 23. muujiza huo utatoka wapi halafu kwa nchi zote? wakati moja inaposonga mbele nyingine inashuka?
 
ni vigumu. kuwa na uchumi wa dolla trillion moja! kutoka billioni 23. muujiza huo utatoka wapi halafu kwa nchi zote? wakati moja inaposonga mbele nyingine inashuka?

Hakuna nchi moja duniani yenye gesi na uranium ambaye ni masikini. Labda Tanzania iwe ya kwanza. Hapo ongeza Gold na utalii, kwisha maneno. Just a matter of time
 
zipo sana. chad, niger namibia.

najua watu wanaamini utalii. lakini wanaokuja kwetu hawatumii pesa za hapa. anakuja na ndege ya kigeni, anapokewa na magari yanayomilikiwa na wageni, anafikia hotel zinazomilikiwa watu wa nje haohao, anachukua charter zao na kurudi kwao. halafu baada ya hapo hao foreigners wanarudisha faida hizo kwao. pesa tutakayopata ni ya vinyago na fees ndogondogo. ufaransa mtalii anatumia 70% ya gharama zote hapo. tanzania mtalii anatumia asilimia tano. biashara kichaa. yaliyokea kwenye almasi yatatokea kwenye uranium na gesi. wala tusijipe matumaini. tunahitaji mtazamo mpya.
 

hivi vitu vya asili lazima tujifunze kuwa siyo vyetu. samaki madini wanyama mbugani ndege angani nk. vyetu ni akili zetu. basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…