kwaiyo kutaka kusemaje labda apo pa roy sjazaliwa nae tumbo moja?roy asi ni mtakatifu jaman?kwan ana madhara yeyote kwa bnadamu eva?mbona kuntisha bwanawewe?
utanchapa na nini wewe?mintakuchapa kwa maombi tu utashndwa na kulegea mwenyewe!!!!!!!
ha kwani ivi duniani kuna sheria bacha?Hivi Rose ile sheria ya kumkonyeza mwenzio ni kosa la jinai bado ipo, au inatumika kwa wanaume tu pindi wanapokonyeza akina dada?????
Sawasawa ndg yangu !
nimekupata ..ivi wakt mnapandsha bendera wa kucheka cheka alikuwa wap?darasa la pili?
Rose we huyo ni Sec gen wa chama chatu....ndo unamuaddress uivyo kwani mmetoka tumbo moja:jaw: Duka la kaya sio wa kusimuliwa....nimekuwepo kunga Dark City aje hapa atoe ushuhuda jinsi tukipanga foleni...sukari kilo moja tu sio zaidi, sabuni kipande kimoja, etc
Apo pengine poa mi ntajua nitakachokupiga nacho...of course ur favourite eeh:A S thumbs_up: