Can You Break A Broken Heart?


Babu ukiwa hujalamba ule ugoro wako huwa unakuwa na hekima zaidi.
 
Mi nshawahi kuvunjwa moyo sana. Ndio maana nampenda mwokozi wangu wa kutonifanya kreze: Alkoholi tokea Serengeti Lager / Valeur Brandy.
You break my heart, I drink them lots of alcohol....I break yours!

I think TBL, na SBL inabidi watoe tuzo za mwaka kwa watu kama wewe.
Yes it is possible to break a broken heart, only that the pain of the already broken heart wont be as serious as the pain of the unbroken heart
 
kwa mfano mimi,moyo wangu umeshabrekiwa KITAMBO SANA....!naamini hakuna mwanamama anaeweza kufanya kitu 'kipya'' kabisa katika maisha angu (including my wifey,na analijua hilo).....

sasa videm dem vya bongo mihuwa navishangaa,naviambia nimeoa na moyo wangu ulisha brekiwa tena kwa crusher ya kokoto et na vyenyewe vinataka kubreki my heart

KUDADADADEK
 
Skulimeti labda nikuulize:

Ulishawahi kuvunjwa moyo?
Ulishawahi kumvunja mtu moyo?

Skulimeti:

Sijawahi kuvunjwa ila nilishawahi kuvunja! please do not ask for details
 
Mi nshawahi kuvunjwa moyo sana. Ndio maana nampenda mwokozi wangu wa kutonifanya kreze: Alkoholi tokea Serengeti Lager / Valeur Brandy.
You break my heart, I drink them lots of alcohol....I break yours!

Babu how can you break mine through that??? Is it not breaking yours again and again???
 
Babu ukiwa hujalamba ule ugoro wako huwa unakuwa na hekima zaidi.
Hahaha...we mshiki naona unapotea njia. Utakula BAN!
I think TBL, na SBL inabidi watoe tuzo za mwaka kwa watu kama wewe.
Yes it is possible to break a broken heart, only that the pain of the already broken heart wont be as serious as the pain of the unbroken heart
Mamaa la Carmel...welcome back.
Nasikitika kukufahamisha chama chako kimekufa na wanachawa wako wote wamehamia ISC.

Hakuna kuvunjana mioyo kwenye INFII thats where Infii is here to stay. You do me, I do you then kila mtu anachukua time yake. Yanini kuumizana mioyo kwenye maisha haya mafupi?
 
Babu how can you break mine through that??? Is it not breaking yours again and again???

Babu aint break his own heart....Babu anacrush moyo wa aliyemvunjia moyo... You break mine, I crush/eliminate/demolish yours!

Long Live Serengeti Lager and your Cousin Valeur!!
 
Babu aint break his own heart....Babu anacrush moyo wa aliyemvunjia moyo... You break mine, I crush/eliminate/demolish yours!

Long Live Serengeti Lager and your Cousin Valeur!!

And damaging yourself in the process......
 

yaani wewe leo umeamka vizuri sana unataka dhawadi gani
 
Hapa nina supagluu ya kuungia vipisi vya moyo........am becoming a fundi moyo....
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…