Hahaha...we mshiki naona unapotea njia. Utakula BAN!
Babu ukiwa hujalamba ule ugoro wako huwa unakuwa na hekima zaidi.
Babu leo uko njema big up naogopa kukubusu nimesikia (bibi atachungulia humu leo)
Hapa nina supagluu ya kuungia vipisi vya moyo........am becoming a fundi moyo....
For you I will, am I breaking ur heart baby?
am only gonna break break break ur hut!
Yaani we acha tu humu leo babu na mjukuu wake teamo wanamwaga mapoint tu humu da!
yes you are....damn!!
amri kuu za Mungu unazijua.....???
yes you are....damn!!
amri kuu za Mungu unazijua.....???
hahahaaaaaaaa closer closer
Hahahaa...ukiona hivyo ujue bibiyo jana kanipa ya mbuzi kagoma (bibi amekula seva BAN ya JF)
Hapa nina supagluu ya kuungia vipisi vya moyo........am becoming a fundi moyo....
Habari ya maty, naona na wewe leo umeamka na upako wa thanks.
she is very in in counseling, generally si broken heart pekee.... she is talented and professionally trained, i appreciate her talentsShe is a good counselor kwenye fani ya "kuvunjika moyo"?
Far very, very far
Habari yake fundi moyo, hiyo supagluu isijekuwa ya kichina tu.
Orait Orait
Halafu nina kesi na wewe.....
Baba Enock anapenda kufahamu kama inawezekana "kuvunja moyo ulokwisha vunjika"?
Hili swali alilipata katika pitapita zake mitaa ya Mbagala akiwa na wadau...
Naomba kuwasilisha...