Ili uipigie kura ccm kwanza kabisa uukane ukatoliki kwani juzi kanisani (......)tumeambiwa kuwa maaskofu,mapadri,mashemasin.kwani kanisa katoliki wamepewa amri ya kuwahamasisha waumini wao kumpigia kura Padri muasi Slaa,sasa wewe kama unataka kuipigia kura ccm lazima utoke huko katoliki kwani usipofanya hivyo utakuwa umekiuka maamuzi halali ya kanisa letu RC nawe utaitwa muasi(yaani protestant).
ili uipigie kura ccm kwanza kabisa uukane ukatoliki kwani juzi kanisani (......)tumeambiwa kuwa maaskofu,mapadri,mashemasin.kwani kanisa katoliki wamepewa amri ya kuwahamasisha waumini wao kumpigia kura padri muasi slaa,sasa wewe kama unataka kuipigia kura ccm lazima utoke huko katoliki kwani usipofanya hivyo utakuwa umekiuka maamuzi halali ya kanisa letu rc nawe utaitwa muasi(yaani protestant).
Naomba ndugu zangu mlio CCM mnipe good convincing arguments za kukipa Chama chenu kura yangu kwa miaka 5 ijayo....
Sitaki paragraph nyingi. Ningependa unandike kwa point. mfano:
1. Tumekamata mafisadi
mfano: Luyumba,...
2....
3...
Kwa sababu nimeshindwa KABISA kuona sababu na najaribu kuwa partial!
Ili uipigie kura ccm kwanza kabisa uukane ukatoliki kwani juzi kanisani (......)tumeambiwa kuwa maaskofu,mapadri,mashemasin.kwani kanisa katoliki wamepewa amri ya kuwahamasisha waumini wao kumpigia kura Padri muasi Slaa,sasa wewe kama unataka kuipigia kura ccm lazima utoke huko katoliki kwani usipofanya hivyo utakuwa umekiuka maamuzi halali ya kanisa letu RC nawe utaitwa muasi(yaani protestant).
liongo hili lolIli uipigie kura ccm kwanza kabisa uukane ukatoliki kwani juzi kanisani (......)tumeambiwa kuwa maaskofu,mapadri,mashemasin.kwani kanisa katoliki wamepewa amri ya kuwahamasisha waumini wao kumpigia kura Padri muasi Slaa,sasa wewe kama unataka kuipigia kura ccm lazima utoke huko katoliki kwani usipofanya hivyo utakuwa umekiuka maamuzi halali ya kanisa letu RC nawe utaitwa muasi(yaani protestant).
Ili uipigie kura ccm kwanza kabisa uukane ukatoliki kwani juzi kanisani (......)tumeambiwa kuwa maaskofu,mapadri,mashemasin.kwani kanisa katoliki wamepewa amri ya kuwahamasisha waumini wao kumpigia kura Padri muasi Slaa,sasa wewe kama unataka kuipigia kura ccm lazima utoke huko katoliki kwani usipofanya hivyo utakuwa umekiuka maamuzi halali ya kanisa letu RC nawe utaitwa muasi(yaani protestant).
TO BE FAIR.....MIMI NAOMBA CHAMA CHOCHOTE SI CCM PEKEE AMBACHO NITAWEZA KUKIPA KURA YANGU YA PEKEE..HUYU AMEONA NI BORA AIPE CCM ...TAYARI ANA UELEKEO KWANI AMEKOSA WA KUKIFANANISHA NACHO......!kwangu mimi nasema hivi ...ninA KURA MOJA NIMPE MGOMBEA YUPI KWA URAIS,UBUNGE NA UDIWANI...!NIPO KINONDONI,MANZESE...ASANTENI