Canada wamekataa unyonge mbele ya marekani

Canada wamekataa unyonge mbele ya marekani

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Canada imechukua hatua ya kujitenga na Marekani baada ya Rais Donald Trump kuwekea ushuru wa 25% kwa bidhaa kutoka Canada na Mexico, pamoja na ushuru wa 10% kwa bidhaa kutoka china .Viongozi wa Canada, wakiongozwa na Waziri Mkuu Justin Trudeau, wameamua kuachana na Marekani kabisa. Mark Carney, ambaye anasadikiwa kuchukua nafasi ya Justin Trudeau kuanzia Machi, amesema kwamba hawezi kujibembeleza kwa Marekani. Aliongeza kwamba ni bora Canada ikateseka kiuchumi kuliko kuendelea kuwa na urafiki na nchi inayojionyesha kama mnafiki. Canada itakutana na changamoto hizi kwa umoja, na watarudi wakiwa imara zaidi
 
Canada imechukua hatua ya kujitenga na Marekani baada ya Rais Donald Trump kuwekea ushuru wa 25% kwa bidhaa kutoka Canada na Mexico, pamoja na ushuru wa 10% kwa bidhaa kutoka china .Viongozi wa Canada, wakiongozwa na Waziri Mkuu Justin Trudeau, wameamua kuachana na Marekani kabisa. Mark Carney, ambaye anasadikiwa kuchukua nafasi ya Justin Trudeau kuanzia Machi, amesema kwamba hawezi kujibembeleza kwa Marekani. Aliongeza kwamba ni bora Canada ikateseka kiuchumi kuliko kuendelea kuwa na urafiki na nchi inayojionyesha kama mnafiki. Canada itakutana na changamoto hizi kwa umoja, na watarudi wakiwa imara zaidi
Mtamkumbuka Kamala ,angekuwa Rais wa america asingefanya huu ujinga anaofanya shetani Trump
 
trump ni dume la mbeguu....canada wanapenda stori za upinde pindee acha wanyooshwee
 
Back
Top Bottom