Canada yapanga kuipa Ukraine ndege ya Urusi Antonov an-124 RA-82078

Canada yapanga kuipa Ukraine ndege ya Urusi Antonov an-124 RA-82078

Hypershulemia

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2021
Posts
275
Reaction score
841
Ndege ya Urusi Antonov An-124 RA-82078 ambayo iliyozuiwa kuondoka kwenye Uwanja wa Ndege wa Toronto Pearson kwa zaidi ya mwaka mmoja itapelekwa Ukraine.

Ikiendeshwa na Shirika la Ndege la Volga-Dnepr, An-124 iliwasili Canada tarehe 27 Februari 2022 ili kuleta vifaa vya kupima COVID-19 kutoka China.

Baadaye ilizuiwa kwa sababu ya vizuizi vilivyowekwa na Serikali ya Canada kutokana na Uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.

Chanzo: EuroAsian Times

C&P from Aviation Media Tanzania
 
CANADA YAPANGA KUIPA UKRAINE NDEGE YA URUSI

Ndege ya Urusi Antonov An-124 RA-82078 ambayo iliyozuiwa kuondoka kwenye Uwanja wa Ndege wa Toronto Pearson kwa zaidi ya mwaka mmoja itapelekwa Ukraine.

Ikiendeshwa na Shirika la Ndege la Volga-Dnepr, An-124 iliwasili Canada tarehe 27 Februari 2022 ili kuleta vifaa vya kupima COVID-19 kutoka China.

Baadaye ilizuiwa kwa sababu ya vizuizi vilivyowekwa na Serikali ya Canada kutokana na Uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.

Chanzo:

Russian Antonov.jpg
 
Anzieni hapo Finland maana ndo kuna mpaka
Wengi hamjui mpaka, upo wapi ,Russia alishajua Hawa mashoga watakuja msumbua alichofanya ni kuteka maeneo na kuongeza , eneo mpaka 17 square km,
I mean Russia ni kubwa (USA+china) Kwa hiyo ana buffer zone kuuubwa ya kuweka silaha tu , inshort ilə Ukraine inaingia mara 34 Kwa russia
 
Back
Top Bottom