Canal+ decoder zinapatikana

Twin_Kids

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2016
Posts
3,692
Reaction score
5,647
Watu 2 wenye uhitaji, zipo decoder mbili mpya. Wahi ujipatie kwa shs elfu 50 tu. Kufanyiwa installation na kifurushi, ni maongezi.
Zipo Dar Es Salaam/Tabata-Mwananchi.

Zitakuwepo tu ndani ya siku tatu tu.
 
Vifurushi vyake vipo hivi:

12,000
22,500
45,000 na
72,000

Kina mambo mengi,ila kwa wapenzi wa mpira ndo wanaenjoy zaidi, na ni kwa hizo packages mbili za mwisho. Hicho cha 22,500, zipo tu channels mbili za mpira, vya zaidi ni channels 5.

Kwa wale wavibanda umiza, ukilipia 65,000 unakuwa na package yote ya DSTV. Kwa hiyo, faida pia ni nyongeza ya League ya Ufaransa, uarabuni nk.
Hata wale waliokuwa na wasiwasi wa mpira kwa kifaransa, ukiwa na hiyo package ya DSTV, utafailia mipira yako kwa Kiingereza kama kawaida.
 
Vifurushi vyake vipo hivi:

12,000
22,500
45,000 na
72,000

Kina mambo mengi,ila kwa wapenzi wa mpira ndo wanaenjoy zaidi, na ni kwa hizo packages mbili za mwisho. Hicho cha 22,500, zipo tu channels mbili za mpira, vya zaidi ni channels 5
Naomba kujua kuhusu Formula 1
 
Naomba kujua kuhusu Formula 1
Formula one ipo kwenye package hiyo kubwa. Ski,cycling, motorcycle,......... Hiyo ni Eurosport.
Au, ukinunua kifurushi, kwa siku saba unakua unaweza kuona cha zaidi yake. Maana yake,ukilipia hicho no 3, kwa mda wa siku saba utaweza kufatilia hayo mashindano ya formula 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…