Hapo ndio shida iliyopo mkuu, zanzibar inatambulika Tiefu efu na CECAFA tu.Hii nadhani inastahili kuingizwa kwenye vitabu vya rekodi duniani, shida ni moja, Zanzibar inatambulika CAF na FIFA?
Hapo ndio shida iliyopo mkuu, zanzibar inatambulika Tiefu efu na CECAFA tu.
Kwenye record ya dunia haiwezi kuwepo hata Africa kwa ujumla ila East Africa kiukweli ametisha hata mikia fc wanakubali hiliKama ni hivyo, sidhani kama inastahili kuitwa rekodi ya dunia, ya Africa Mashariki sawa.
Duh !, kweli jamii forum is a place for great thinkersNi record ya Dunia bcoz ata ZNZ ipo Duniani mkuu ingawa CAF na FIFA hawaitambui.
Kwenye record ya dunia haiwezi kuwepo hata Africa kwa ujumla ila East Africa kiukweli ametisha hata mikia fc wanakubali hili
Mikia fc ni Thimba sport club mkuu hii ndiyo habari ya mujini, soma hayo maneno kwa rafudhi ya kihayaHahaha mikia F.C ndio mnyama? hii misamiati imenipita kiasi siku hizi.
Uongo mbaya, Jamaa ametoka mbali, toka enzi ya kuingia na penalty kabla hata ya mchezo mpaka sasa anaaminika sana. Nadhani ni mmoja wa mabeki wenye magoli mengi kwenye mpira wa bongo, sina uhakika.
Ni record ya Dunia bcoz ata ZNZ ipo Duniani mkuu ingawa CAF na FIFA hawaitambui.
Mikia fc ni Thimba sport club mkuu hii ndiyo habari ya mujini, soma hayo maneno kwa rafudhi ya kihaya
Huyu jamaa anashikilia record ya mchezaji asiye na nidhamu duniani. Pia record yake kubwa ni mchezaji pekee duniani ambaye hawezi kukaa na timu nyingine zaidi ya mikia fc, ni mchezaji ambaye anafanya lolote kwenye kilabu cha thimba hata akiwatemea mate viongozi wa thimba hawezi kufukuzwaHuyu anashikilia record gani wakuu?
mie naikumbuka ile ya kuwalaza watu saa 12 jioni!!!
Ni record ya Dunia bcoz ata ZNZ ipo Duniani mkuu ingawa CAF na FIFA hawaitambui.
Hii nadhani inastahili kuingizwa kwenye vitabu vya rekodi duniani, shida ni moja, Zanzibar inatambulika CAF na FIFA?
Hapo ndio shida iliyopo mkuu, zanzibar inatambulika Tiefu efu na CECAFA tu.
Ni record ya Dunia bcoz ata ZNZ ipo Duniani mkuu ingawa CAF na FIFA hawaitambui.
Kama CAF na FIFA hawaitambui ZNZ basi rekodi hiyo Africa au Duniani haitasomeka maana in the face of CAF and FIFA, hawategemei awepo Captain wa timu ya ZNZ ambayo "haipo"
Zanzibar inatambuliwa na CAF, ndiyo maana vilabu vya Zanzibar vinashiriki mashindano ya CAF, ni kupitia utambuzi huo wa CAF kwa Zanzibar Ligi ya Muungano ilikufa automatically.
FIFA bado wanasuasua kuitambua Zanzibar; pamoja na yote hayo jamaa anatisha.