Cannosa High School

Cannosa High School

Jangakuu

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2012
Posts
513
Reaction score
221
Jamani nina Mwanangu, nataka kumpeleka Cannosa High School. Please naomba anayeifahamu hii Shule

anipe taarifa zake Kuhusu A-level .

Je wanatoa masomo ya Science A-level? , mwanangu anataka kuchukua mchepuo wa PCB

Je kwa A-level inakuwaga ya ngapi kitaifa?(kwa O-level imefanya vizuri mwaka huu), lakini je Kwa A-level?

Naomba Munisaidie Jamani.

Taarifa nilizokuwa nazo ni kwamba hii shule ipo Dar es salaam. Maeneo ya Tegeta NYUKI.
kwa form 4 imefanya vizuri na imetoa mwanafunzi wa Top 10.

Nataka kumsaidia mwanangu amefanya vizuri form 4. kwenye shule za Kata amepata GPA. ya 4.0. upande wa PCB amepata A, B+, B+ (A ya BIOLOGY). Ningependa A-level Asome kwenye Mazingira Kidogo mazuri.

Naombeni Msaada wenu.
 
A'level inaanza mwaka huu na PCB nı miongoni mwa michepuo watakayokuwa nayo.Hawajatoa fomu sikisi.Wako poa ila mwanao lazima agongwe interview.

Wametoa fomu bwana na interview ni tarehe 7 March 2015 wahi kachukue fomu
 
Shule kwanzia ianzishwe hajiwaji kutoka top 10... Hongereni Masista wa Shirika la Canossa..
 
Back
Top Bottom