Nipe link wap nawezq zipata hizo fake na sh ngapi na je output zipo poa au myeyushoGo for fake...zipo kibao na cheap
Mmmh printer ni expensive sana i cant do thatNunua fake lakini jiandae kuharibu printer zako.
Kesho nitakupa number, kuna brand inaitwa skylink inatengeneza wino wa kila aina na haijawahi haribu printer yoyote.nipe link wap nqwezq zipata izo fake na sh ngap na je output zipo poa au myeyusho
Mwanzo nilihisi unatania, nini shida ndugu.. hebu ngoja nije.Mkuu mpaka nikwambie hapa nina shida mkuu na wakati pm zipo mkuu kweli,
Wapi naweza kupata wino fake mkuu na kwa sh ngapiGo for fake...zipo kibao na cheap
Hivi ni kama zile za Marekani wanazoprintia Dollars?Habar wadau
Hapa nahisi tunapigwa hapa ofisi kuna printer mbili zote canon iage runner 1325 IR
mimi napenda sana most of my material yawe in gard copy shida ni wino sasa unauzwa bei mbaya ivo ni lazima printer itumike kuprints only office documents
Sasa naombeni ushauri wapi naweza pata wino wa canon kwa bei nzuri original maduka mengi ya posta wezi tu
Hivi ni kama zike za marekani wanazoprintia Dollarsthubutu ww ? printer ya kuchapa pesa haiwezi kuipata kishikaj shikaji tu sio comsumer good ni government or industry good