Canter tani 3.5 inaweza kufanya nini?

nonoly

Member
Joined
Jan 3, 2016
Posts
9
Reaction score
4
Wadau habar za asubuhi, Mimi ni kijana Nina miaka 23, nimenunua canter ya ton 3.5 Je unaweza kufanya shughuli gani ya kudumu tofauti na deiwaka, nipo Kigamboni, Dar-es-salaam! Naombeni ushauri
 
aise mkuu mimi hii kitu ningeipeleka moshi afu nanunua ngombe wangu kama 4 hivi then naweka nguruwe kama 20 hivi naanza kupambana natumaini within 2 years nitakuwa mtu mwingine.Au kama vipi iniuzie nikuonyeshe cha kufanya boss wangu
 
Unaweka ng'ombe kwenye gar? Cjakupata vzr mkuu
 
Wadau habar za asubuhi, Mimi ni kijana Nina miaka 23, nimenunua canter ya ton 3.5 Je unaweza kufanya shughuli gani ya kudumu tofauti na deiwaka, nipo Kigamboni, Dar-es-salaam! Naombeni ushauri

umesema upo kigamboni!

wasalimie magenge ya juu, kwa urasa, kwa dumba , midizini ,sombepa, chomiko,

ipeleke shamba ukapige pesa.
 
Kwani wakati unainunua ulikua unawaza kuifanyia nini?
Ebu tuanzie hapo kwanza
 
Wadau habar za asubuhi, Mimi ni kijana Nina miaka 23, nimenunua canter ya ton 3.5 Je unaweza kufanya shughuli gani ya kudumu tofauti na deiwaka, nipo Kigamboni, Dar-es-salaam! Naombeni ushauri
Mkuu kama uko sehemu yenye shida ya maji nakushauri ununue yale matank ya maji yale ya 1000ltrsikinunu tank 3 zinaenea hapo kwenye bord ya gari uza maji mtaani utapata hela!!!
 
Mkuu kama uko sehemu yenye shida ya maji nakushauri ununue yale matank ya maji yale ya 1000ltrsikinunu tank 3 zinaenea hapo kwenye bord ya gari uza maji mtaani utapata hela!!!
Ahsante sana mkuu nitazingatia ushaur wako, ngoja nifanye utafiti kidogo
 
Kwani wakati unainunua ulikua unawaza kuifanyia nini?
Ebu tuanzie hapo kwanza
Ilitakiwa ifanye kazi ya kuchukua bidhaa viwandani kuleta madukani lakn mtaji wetu umeyumba kdg
 
Nakushauli nenda sokon onana madalali wa tikitiki nanasi chungwa embe kama gari yako nzima watakutafutia kazi za kuleta hayo mazao sokoni inalipa sana kwa siku hukosi lak na nusu ya kulaza kama dereva mwenyewe na tandboy wako mi nilifanyaga ilikuwa inanilipa tatizo likaja kwa mwenye gar alihamishwa kikazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…