Cape Town Yatajwa kama mji namba 1 kwa ubora Duniani kutembelea mwaka 2025

Mjo umegoma kipigwa PICHA?
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Joburg sio mji wa kuishi binadamu.

Mwaka jana nilifikia hotel moja maeneo ya Boksburg, 5 star hotel lakini mtu akapigwa risasi nje ya geti la hotel tu hapo kuna shopping mall mchana kweupe.
wewe assassin utakuwa ulihusika
 
Cape town waliondoa uhai wa baba angu kipenzi wale watu nataman mungu awape pigo kama la marekani [emoji2959]

Wivu wa maendeleo Kwa wagen utadhan waliambiwa wao wasifanye kazi [emoji2959]
Pole mama pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…