labda kifaransaCabo Verde ndio nini?
Bila picha uzi wako ni batili
Daa! kwa hiyo hujui Cabo Verde ni nini?Cabo Verde ndio nini?
Bila picha uzi wako ni batili
NakaziaPicha zaoooo
Waingereza Wala wasingekuwa na maajabu wale mambo ya mapenzi huwa hawahusuduNamuomba Mungu kabla hajanitwaa nifike visiwani Cabo Verde mana sio kwa pisi zile kina sinyorita wa kwenda,hivi kwanini mchonga aliwafukuza waingereza nasi tusingekua na kina zumaridi tu sura ya baba
Mi najipa miaka miwli TU Kisha 2026 lazima niingie na viza yao ni on arrival so pasipoti na nauli vinatoshaNamuomba Mungu kabla hajanitwaa nifike visiwani Cabo Verde mana sio kwa pisi zile kina sinyorita wa kwenda,hivi kwanini mchonga aliwafukuza waingereza nasi tusingekua na kina zumaridi tu sura ya baba
Picha Jf haifunguki siku hiziUnateseka ukiwa wap
View attachment 2894327
Nina mpango wa kwenda Cape Verde June, hope hayo maua nitayakutaKuliko mataifa mengine yote cape Verde itapokea watalii wengi sana kutoka mataifa mbalimbali duniani ambao wataenda kuyaona Yale maua live.
Japo wengi wanawapongeza wa SA kwa ushindi ila wengi wanasikitika kuwapoteza wale warembo kwenye TV zao kuanzia Jana sasa tutaendelea kumuangalia "Mama Joy"wa SA