Cape Verde kajua Kutumia AFCON

Nchi yenyewe Ina watu lakini 6 tuu.TV zenyewe Jana zilikuwa na shobo ya kuwaonesha wale mademu kisa shombe shombe
 
Waingereza Wala wasingekuwa na maajabu wale mambo ya mapenzi huwa hawahusudu
Wareno ndio funga wale hata Leo Moja ya sifa Yao ni hiyo
Ngono ,starehe n.k angalia Brazil Mozambique na Angola hata kule Guinea kote ye kaacha watu wake
Muingereza kwa miaka ambayo amekaa hapa kabla ya uhuru angekuwa mreno kungekuwa na machotara kibao
 
Yani mpaka nilikuwa sina amani babe akiangalia mechi za Cape Verde, bora wametolewa nina amani sasa.
 
Mam Joy kama mam Joy [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hamtaki wezele ?
Ila ndio tunae Sasa tuta concentrate na mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…