Sisi tunaotumia Cape vipi?Brother dunia gani tena Afcon mda wote wameitwa Cabo
Sikatai ila Cabo Verde ni level aisee we ngoja Afcon 2027 na tunataka kituo Chao kiwe dar wasipelekwe Kenya Wala ZenjiMbona huku kwetu wambulu/wairaki na warangi wako hivyo hivyo tu.
Hata Tabora kule wanyamwezi nk.
Tutakapoandaa AFCON waletwe kwa wingi na wao watangaze nchi [emoji3]