Cape Verde kajua Kutumia AFCON

Africa bahati mbaya wale.
Wale wanaweza kukataa kuwa afrika na wakaelewwka ila sio wale wabaguzi morroco.wapo ndani kabisa ya afrika
Hii ndio nchi imetoka na Kila mtu hana furaha
 
Mbona huku kwetu wambulu/wairaki na warangi wako hivyo hivyo tu.

Hata Tabora kule wanyamwezi nk.

Tutakapoandaa AFCON waletwe kwa wingi na wao watangaze nchi 😀
 
Mbona huku kwetu wambulu/wairaki na warangi wako hivyo hivyo tu.

Hata Tabora kule wanyamwezi nk.

Tutakapoandaa AFCON waletwe kwa wingi na wao watangaze nchi [emoji3]
Sikatai ila Cabo Verde ni level aisee we ngoja Afcon 2027 na tunataka kituo Chao kiwe dar wasipelekwe Kenya Wala Zenji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…