Capt. Ibrahim Traolè: Mtumwa asiyejitambua (mpumbavu) hatakiwi kutetewa wala kuhurumiwa

Capt. Ibrahim Traolè: Mtumwa asiyejitambua (mpumbavu) hatakiwi kutetewa wala kuhurumiwa

Burkinabe

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2023
Posts
2,354
Reaction score
4,024
Moja kati ya viongozi jasiri kabisa kuwahi kutokea barani Afrika, kijana mdogo na mzalendo kwa Taifa lake na Afrika kwa ujumla; Capt. Ibrahim Traolè, Rais wa mpito wa Burkina Faso, amewaasa vijana wa Kiafrika ifikie mahali wajitambue (waache ujinga) na kujinasua dhidi ya ukandamizaji unaofanywa na mabeberu wakishirikiana na viongozi wao waliokosa uzalendo kwa nchi zao.

Vinginevyo wataishia kulalamika kila siku kwenye mitandao na kuwa ma-keybord warriors.

Nawatakia Jumapili njema.
 
Africa kujikomboa na unyonyaji wa hawa mabeberu,inatakiwa waungane na wafanye mabadiliko kwa pamoja,huu unyonyaji waupinge wakiwa kitu kimoja,kwa rais mmoja mmoja ni kazi kubwa sana japo Traore ameanza vizuri,

Vita ya kiuchumi ni vita ngumu sana hasa ukiwa peke yako,leo hii Niger inataka kuvamiwa na waafrica wenyewe kwa maslaha ya hao mabeberu!
 
Africa kujikomboa na unyonyaji wa hawa mabeberu,inatakiwa waungane na wafanye mabadiliko kwa pamoja,huu unyonyaji waupinge wakiwa kitu kimoja,kwa rais mmoja mmoja ni kazi kubwa sana japo Traore ameanza vizuri,

Vita ya kiuchumi ni vita ngumu sana hasa ukiwa peke yako,leo hii Niger inataka kuvamiwa na waafrica wenyewe kwa maslaha ya hao mabeberu!
Akili za baadhi ya viongozi wetu (Afrika), zinatia shaka sana
 
Back
Top Bottom