Kuna Rango pia n kwereeeeeeeMortei decai, lone ranger hizi nazo ni za john depp nzur
Mle kaigiza so cool and focused jamaa anajua sana aisee kila character anayoigiza anaendana nayo.Ndo yeye
Mimi akiigiza tofauti na pirate sijui ntamuonaje[emoji16][emoji16][emoji16] ,em wekeni link tuione hio movieMle kaigiza so cool and focused jamaa anajua sana aisee kila character anayoigiza anaendana nayo.
Ngoja waje wakuwekee maana naona uvivu kuzisaka mimi movie zake nnazo kwenye external almost zote ninazozifahamu.Mimi akiigiza tofauti na pirate sijui ntamuonaje[emoji16][emoji16][emoji16] ,em wekeni link tuione hio movie
Ndio ndio mkuu hujakosea kabisaHivi si ndiye amecheza the tourist pia na angelina jolie
Hahahaha kuna part jangwani akiwa anatafuta maji ilinifurahisha sanaaaKuna Rango pia n kwereeeeeee
Kwa jinsi nlivyo ona trailer lake ni wanamsaka captain jack sparrowNamkubali sana jamaa.
Sema kuna wakati ilisemekana kuwa kwenye Dead men tell no tails hatakuwemo,, nilisikitika sana. Mwenye ufahamu na hili anijuze.
Umekosea kidoogo jina lake ni captain barbossaNmkubari na captain burbosa (sijui jina lake nimelipatia)
Huyu jamaa anajua sana. kamcheki kwenye movie ya Once Upon a Time in Mexico. Ameigiza tofauti na hiyoMimi akiigiza tofauti na pirate sijui ntamuonaje[emoji16][emoji16][emoji16] ,em wekeni link tuione hio movie
Humu kaigiza kipengele gani mbona nnayo na nimeitazama mara kama tatu sijaamtambua zaidi ya kumuona yule mzee wa guiter na yule jamaa ana sura mbaya na enrique eglesiasHuyu jamaa anajua sana. kamcheki kwenye movie ya Once Upon a Time in Mexico. Ameigiza tofauti na hiyo
Alie tobolewa machoHumu kaigiza kipengele gani mbona nnayo na nimeitazama mara kama tatu sijaamtambua zaidi ya kumuona yule mzee wa guiter na yule jamaa ana sura mbaya na enrique eglesias
Yule jamaa kumbe ni jon ddp.. si yule alikuwa anaweka mkono bandia mwingine anashikilia pistol.Alie tobolewa macho
Ndie yeye huyo. Pale alikuwa tofautiYule jamaa kumbe ni jon ddp.. si yule alikuwa anaweka mkono bandia mwingine anashikilia pistol.
itabidi nimwangalie vizuri
Halafu yule ninamuona kijana zaidi ya jonNdie yeye huyo. Pale alikuwa tofauti