Imagine movie ya 2007 ila tech wametuzidi[emoji23][emoji23]mini-jack wanaendelea kutushangaza uwezo wa wenzetu ktk kutengeneza Films
Kilichodemekana ni kwamba atakuwepo ila hatakuwa na nafasi kubwa sana kwa character yake. Itafocus zaidi katika kudevelop other characters kama hio mpya ya Captain Salazar na zinginezo. Hii walitakaga kuifanya way back even before the Stranger's Tides waki'site reason mojawapo ni kuepuka kufanya the whole Pirates of the Caribbean franchise iwe dependant on a single character/one-man attraction. Ila tusubirie tutaona itakuwaje.Sidhan..ila treller zake ajaonekana anaonekana jamaa flan wa Skyfal
Mm nlipenda saaana curse of black Pearl wakati wa usiku mwezi ukitokea wanageuka mafuvu asee walikuwa wanapigana kama nn sijui[emoji16][emoji16][emoji16]Ila DEAD MAN CHEST ilifunika zote
[emoji16][emoji16][emoji16]mm napenda hio mikogo, hapo inapoanzaMm nlipenda saaana curse of black Pearl wakati wa usiku mwezi ukitokea wanageuka mafuvu asee walikuwa wanapigana kama nn sijui[emoji16][emoji16][emoji16]
At world's end mi ndo naikubali na hapa nimeamua kuiangalia hahahahaIla DEAD MAN CHEST ilifunika zote
King Julien: You want me to play hide and seek with Lemmy?Rico anasema...fortunes are mere superstition s...king Julian anajibu...yethhh this stitions are super that's why you must listen to them..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umenkumbusha ngoja leo niitazame tena[emoji23][emoji23]Ila DEAD MAN CHEST ilifunika zote
Dead man Chest..napenda sana lilie Crew ya Dave jones..jamaa wapo kama Samaki vile..viumbe wa ajabuMm nlipenda saaana curse of black Pearl wakati wa usiku mwezi ukitokea wanageuka mafuvu asee walikuwa wanapigana kama nn sijui[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]King Julien: You want me to play hide and seek with Lemmy?
Mort: Uh-huh. Is good idea. You like?
King Julien: I like. I can show you my seeking
technique and also my counting technique. I invented a few new numbers I think you will like.
[ Covers eyes]
King Julien: One, twolien, three-four-five-six-seven-eight-nine-ten, meleven...
Sana sana kuna wale jamaa wawili mmoja anajicho bandia huwa sichoki kuwaangalia maana ni wanaongea na kufikiria ujinga mda wote[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]mm napenda hio mikogo, hapo inapoanza
Hahaha na meli yao ile mara iwe submarine izame na mda mwingine meli kama kawaida[emoji23] [emoji23] .....ila mara ya kwanza asee nlikuwa siwakubali muonekano waoDead man Chest..napenda sana lilie Crew ya Dave jones..jamaa wapo kama Samaki vile..viumbe wa ajabu
ile meli inaitwa the flying Dutchman chini ya captaincy ya Davy Jones aka pweza mtuHahaha na meli yao ile mara iwe submarine izame na mda mwingine meli kama kawaida[emoji23] [emoji23] .....ila mara ya kwanza asee nlikuwa siwakubali muonekano wao
Tia Dalma 'Calypso' anapendelea kumwita 'Witty Jack'.I am not Jack Sparrow, I am captain Jack Sparrow.
This day will be remembered as the day when you almost caught Capt Jack Sparrow.