Apate laana kwani Warioba ni baba yake mzazi? Kama ni hivyo basi Mnyika ana laana ya JK kwa kumuita dhaifu.Tuacheni mambo ya kudhani kifo ni kifo.
hebu tumuache apumzike
Yanasemwa mengi binafsi natakujua ukweli zaidi.
Wengine wanasema alizidi sana uzito wake Je! Kuna anayejua alifikia Kilogramu ngapi?
Je! Yamkini hio ni sababu tosha yakupatwa na kifo?
Lakini pia kuna wengine wanadiriki kuchokonoa mambo yake ya Kifedha kuwa ni MKOPO WA BILLIONI MOJA BANK YA CRDB,Baadhi ya watoa taarifa waliokuwa karibu naye wanasema alirejesha Millioni 400 na alibakiza milioni 600.
Inaonekana kulikuwa na shinikizo la kulipa madeni yote haraka kabla ya kuanza chaguzi za ndani CCM.
Mambo ya vimwana (Capt.Komba alikuwa sio duni kwa Warembo alipatikana kirahisi na kwa wakati huku akitoa MSHIKO MNONO) pia yametajwa kuwa ndio chanzo kingine cha kuwa na Madeni mengi na makubwa hata kusababisha MAUTI KUMFIKIA.
Wabongo kwa kuongea sio haba,wengine wanasema kule kujihusisha na kundi la LOWASA huenda imewafanya wakubwa wawatumie Bank zinazomdai zimfuatilie kupita maelezo.
Wanadiriki kuingia ndani zaidi na kusema huyu bwana kwa habari za mambo ya RASIMU YA KATIBA MPYA iliyowasilishwa na kusomwa Bungeni na Mzee wetu JAJI WARIOBA imemletea LAANA badala ya BARAKA hasa hapo CAPT KOMBA aliposimama na kutakamka maneno MAKALI,MAGUMU,MAZITO,MABAYA akimtusi JAJI SINDE WARIOBA.
Mzee mwenyewe amekaribia kufa usituvurugie Nchi la sivyo nitaingia msituni,maneno hayo yalitamkwa na MAREHEMU KOMBA.
Sote tumefichwa hatujui lini huyu na yule watakufa.Kifo chake komba huenda sio kulogwa bali ni MUNGU TU AMEMPENDA ZAIDI KULIKO SISI NA KUAMUA KUMWONYESHA MWENYE KUPANGA RATIBA Nani aondoke nani abakie.Mwenye uwezo huo ni MOLA PEKE YAKE.
Inatufundisha sote tusijisahau duniani sio mahali pa kudumu siku yaja tutaondoka kila mmoja na Majira yake,Tuitumie hii FURSA YA KUISHI VIZURI.
Nimebakia najiuliza maswali Mu-Kichwa NINI KIMEMUUA CAPT KOMBA kati ya haya yote yanayosemwa???
hebu tumuache apumzike
Apate laana kwani Warioba ni baba yake mzazi? Kama ni hivyo basi Mnyika ana laana ya JK kwa kumuita dhaifu.Tuacheni mambo ya kudhani kifo ni kifo.
Kwanini Sasa Hawakumkorogea Kikombe Cha Chumvi?
Kama ndio maana yake kampe kiroba cha chumvi Dr Slaa
Una uhakika ameenda kupumziko huko? inawezekana bado anahojiwa
Apate laana kwani Warioba ni baba yake mzazi? Kama ni hivyo basi Mnyika ana laana ya JK kwa kumuita dhaifu.Tuacheni mambo ya kudhani kifo ni kifo.
Apate laana kwani Warioba ni baba yake mzazi? Kama ni hivyo basi Mnyika ana laana ya JK kwa kumuita dhaifu.Tuacheni mambo ya kudhani kifo ni kifo.
Mnyika alichosema ni ukweli na wala halina utata.
Ila kumsema mwenzako kuwa et anakaribia kufa! ni kosa kubwa sn hilo hapa duniani.
Et nitaingia msituni,hahahaaaa mtu mwenyewe yule! hata wakituingiza msitu mmoja na mie bila silaha yoyote ile masaa mawili hayaishi watamkuta yupo hoi kama c kufa.LAANA
Wakati tupo wadogo kuna wimbo tulikuwa tunaimba
IDD AMINI AKIFA MIMI.SIWEZI KULIA,NITAMTUPA KAGERA KIWE CHAKULA CHA MAMBA.
DUh komba sijui.kwake.imekaeje
Hili la laana ya Jaji Warioba kama ina tiki vile ebu ngoja nisubiri mawazo ya wengine.
​kwani wwe ushafika huko hadi ujue kama anahojiwa sasa???wote basi tupige kimya kwani hakuna aliyewahi fika hukoUna uhakika ameenda kupumziko huko? inawezekana bado anahojiwa
Imegundulika kua makundi ya uraisi yamechangia kifo cha nahodha Komba
Taarifa zinzsema kua Komba alikua anadaiwa na baadhi ya mabenki nchini hadi kupelekea shule yake kuuzwa,hilo halikumnasua kwenye wimbi la madeni,bado akaendelea kusakamwa na wadeni wake hivyo waziri kiongozi akamkingia kifua kwa wadeni wake kwamba wampe muda atamaliza madeni yake na wasipige nyumba yake mnada.
Kweli wadeni wake wakampa muda wakitegemea kwamba akipokea kiimua mgomgo cha ubunge atamaliza deni lake lililobaki(waziri kiongozi aliwaahidi wadeni wake kwamba deni hili litalipwa kutoka kwenye kiinua mgongo cha komba).
Baada ya muda Komba akasikika akisema Tanzania hakuna mwanaume kama Lowassa na ndie atakaekua Rais wa Tanzania na alikua kaanza kumtungia nyimbo za kampeni na za kumsifia.
Waziri kiongozi alipopata hiyo taarifa akawapigia simu wadeni wa Komba waende kai pesa zao na akajitoa rasmi kumlinda komba dhidi ya mabenki yanayomdai. Mabenki yakatia maguu kwa komba kudai pesa zao,Captain akajichanga changa akalipa ikabaki kama milioni 46,akampigia Mzee wa kaskazini simu amsaidie hiyo hela ili wasiuze nyumba yake,mzee wa kasikszini akaahidi kuituma kumsaidia
Imefika siku ya wadeni kuja kuchukua pesa yao au kuuza nyumba Komba akapigia simu mzee wa kaskazini toaka asubuhi simu haipokelewi,presha ikapanda ikapelekea kifo chake.
HABARI NDIO HIYO.