Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
ofu topik:mie nilijuaga NN ni msela msela hivi,hana mtoto wala hawazii kuwa naye....:twitch:
What the hell? Ina maana hakuna anayejua? Well, I guess I'll have to check with the traffic police.
Dont you ever do it, they will ask for kitu kidogo, na najua hutakuwa tayari kufanya hivyo.
NN mimi nafikiri sheria haiko wazi hapa Tanzania au hatuijui ila kwa usalama wa watoto wako na kwa ufahamu tulionao ni kuwa mtoto ni vizuri akae kwenye car seat iliyowekwa nyuma. watoto wachanga mpaka 8months wanatakiwa watumie rear facing car seat na wakubwa 9months na kuendelea, sina uhakika mapaka umri gani. hivyo ndivyo nilivyofanya mimi kwa usalama.
Wadau, ningependa kujua sheria za barabarani Tanzania zinasemaje kuhusu kuendesha gari na mtoto akiwa ndani? Je, ni lazima uwe na car seat? Na kama ni lazima ni watoto hadi wa umri gani wanaotakiwa kuwekwa kwenye car seat? Na kama wamevuka huo umri sheria inasema wakae kwenye kiti cha nyuma au?
Wenye kujua tafadhali nijuzeni. Natanguliza shukrani.
Asante dada. Nyuma ni salama zaidi kwa mtoto yoyote chini ya miaka kumi na miwili.
Hakuna sheria yoyote inayotumika Tz ambayo iko valid sembuse inayohusu car seat? Tz kwenye sheria zote ni mfuko wako na ukikataa yatakupata kama yaliyonipata mie kwani nilipelekwa pale Osterbay Polisi kama mzururaji na kesho yake nikapelekwa mahakamani nikasomewa shitaka la kukutwa na mmea/Bangi gram 500 zikiwa kwenye bahasha, hapo nilinyanyua mikono nikakata pochi na kesi iliisha siku hiyohiyo mahakamani
Wadau, ningependa kujua sheria za barabarani Tanzania zinasemaje kuhusu kuendesha gari na mtoto akiwa ndani? Je, ni lazima uwe na car seat? Na kama ni lazima ni watoto hadi wa umri gani wanaotakiwa kuwekwa kwenye car seat? Na kama wamevuka huo umri sheria inasema wakae kwenye kiti cha nyuma au?
Wenye kujua tafadhali nijuzeni. Natanguliza shukrani.
nishashuhudia watu wanaendesha huku vitoto vinatoa vichwa nje ya dirisha au wengine wanawaruhusu hata kuchungulia thru sun roof......nunua na weka kwa usalama wa mwanao kama ambavyo naona watu wachache wanajali wanazo hizo child car seat.
Duuh sasa hiyo ni child endangerment....kuna haja ya kuanza uanaharakati wa kutetea haki na maslahi ya watoto. Ngoja nijipange vizuri.