Car Tracking System- Who is behind this?

Holy guacamole!!!! This thing is smellier than I thought.
How long has this been tried for before it could be turned into a national directive?
Who were the stakeholders in the trial?
Who has been given the mandate to turn this into a national transport directive?
Has it been approved by the government or in the parliament?
It's true there are many accidents, but what with this abrupt implementation and conversion into law?

To TABOA and Ultrack management: We will get to the bottom of this crafty, bullyish domestic-turned-national project!
JF Investigates!!!
 
Bahati mbaya serikali yetu haijawekeza kabisa katika mfumo huu ndo maana watu wanapata mwanya kufanya biashara.
CTS ni technolojia inayotumika kufuatilia mwendo kasi wa magari, kufuatilia matumizi bora ya mafuta na kufuatilia muda sahihi kwa gari lipi liwe wapi kwa muda upi... gari inafungwa kifaa kilaitwa Global Position System (GPS) na kunakuwa na Kituo(central segment) amabyo wanakuwepo watenda kazi wanaofuatilia(na hapa ndo biashara ilipo.).Wamiliki wa magari wanaweza kupata tarifa hizi wakti wowote wakizihitaji katika mfumo wa takwimu au ramani.

Kwa chi za wenzetu magari yote..ya biashara na binafsi yamefungwa mfumo huu... kudumissha mfumo wa usalama(surveillance system). Gari likihusishwa na tukio lolote...inachuku chini ya dk 2 kujua liko wapi na polisi waweke vizuizi wapi, na makachero wapite njia zipi kulipata gari hilo...

naamini nimewezea walau kukufungua akili kwa kutafuta maarafa zaidi...:suspicious:
 

You pathetically rushed into forcing all long haul bus owners on the land to install speed governors, it didn't work, no refund to them, and therefore an utter failure! Being determined and unstoppable, making up for your loss and credibility, you conjured up some other state-of-the-art vehicle tracking scheme to rob off the ever gullible Tanzanians. Hell no! The system as described is okay for a single company but not fit at nation scale. But as if that wasn't bad enough, you are shambolically trying to pass a directive instated over speed governors to cover this so called tracking system. Even worse, in order to justify this dupery, you are forcefully owning to a tender by utilising terms of procurement set to cover something way aside this project. Jamani, ujasiliamali tunaupenda wote na unalifaa Taifa hili, but not in this way!!
 
Section 51 sub-section (5) of the Road Traffic Act CAP 168 R.E. 2002
"No Person shall drive a public vehicle other than a taxi cab on a public road, unless that vehicle is fitted with a speed governor OR ....any other similar device designed to regulate and/or record the speed of that vehicle"


Kwa hiyo ukiwa na speed governor sio lazima kufunga kadubwashana kao?

The Tender awarded to us by TABOA is a 3 year Contract which guarantees our position and eliminates any competition, this will also result in a great expansion of our revenue and work load.

Hapo kwenye red imekaaje vile?...kama IPTL?

Tanzania Bus Owners Association (TABOA) has guaranteed us, as per contract signed, that number of buses in Tanzania are 2000 plus, we are working on 2000 buses, the exact number is unknown but is more than 3000 buses to be installed and commissioned before 31st May, 2011.

Hivyo basi kwa hesabu za mzee Jenerali Ulimwengu (fasta fasta, Chizika etc)
ni 1,200,000.00 x 3000= Tsh3,600,000,000.00/=

TABOA TABOA TABOA.....Ufffsss#@**t
 
wazo la huu mradi wa car track uliasisiwa mnamo mwaka 2009 wakati wa maonyesho ya magari yaliyofanyika kijitonyama viwanja vya celtel wakati huo. Ktk maonyesho hayo mgeni rasmi alikuwa mkuu wa kitengo cha usalama barabarani hvyo ktk maonyesho hayo watu wa car track walikuwepo na mkuu huyo akawambia waende ofisini kwake ku present what they can do. Nadhani huu ni mwendelezo wa yule jamaa mchaga alikuwa smart sana ktk mambo yake ya kuongoza trafiki..
 
Mkuu Kite Munganga, Yaani tunaambiwa tu cost yake ni 1.2 million. Kwa vitu vinavyofanywa sheria ya nchi ni vyema tujue gharama ya kitu hicho kiwandani na kulinganisha na bei tutakayo uziwa. Tutajuaje kama bei hizo haziko inflated kiajabu ajabu bila kujali guidance za mauzo kwa vitu vinavyofanywa mandatory.

Ndiyo, tracking system zinafanya kazi na zinazuia ajali. Zipo za aina nyingi kulingana na mazingira, kiteknolojia na pia kijiografia. Kuna zinazofaa kampuni ndogo, kubwa na kuna zile zinazofaa kwa Taifa zima. Hii system ilivyoelezewa kwa maoni yangu inafaa kampuni kubwa-kubwa na siyo ya kuifanya iwe project implementable kitaifa tena kimchaka-mchaka.

Kama speed governor zimekuwa kimeo, na kama watu walilazimishwa ku-install, tunashindwa nini kujifunza kutokana na makosa yaliyofanyika hapo awali, badala yake tunakimbilia kufanya project nyingine ya kampuni na kuifanya iwe ya kitaifa. Majaribio ya system hiyo yamefanyika kwa muda gani, imejadiliwa kwa kiwango gani, na itatekelezwaje - hakuna. Lakini mara tu ghafla watu tuna amriwa kuweka tracking system ndani ya miezi kadhaa.

Maswali ni mengi tu: - Watu wakinunua watapewa guarantee ya muda gani?
- gharama ya installation na maintenance itakuwa covered na nani?
- data watakazo kusanya zitakuwa accessible kwa watu gani na kwa ruhsa ya nani na zitatunzwa kwenye database kwa muda gani?
- kosa la mtunza data kupoteza data litakuwa punishable kwa faini ipi au kifungo kipi?
- kutokuweka hiyo system kutatozwa faini ipi au kifungo kipi?
- mtu aki hack system hiyo kampuni ya Utrack itawajibishwa vipi na kwa sheria zipi?

Hivi tumefikiria kama kuna East Africa Federation on the way?? Sheria zetu hizi za kumbambikizia zitafanya vipi kazi na harmonization ya biashara baina ya nchi shiriki? Je, sheria hii ya tracking ipo Kenya, Uganda, Rwanda au Burundi? Je, mwenye mabasi kama ni Mganda na headquarters zake zikawa Nairobi Kenya halafu mabasi yake yakawa cross country - Dar-Mombasa-Bujumbura, je atalazimika afunge hiyo mitambo?!

To be honest, the project as applied to individual companies is sufficiently usable. However, it would be a botched up scam to obligatorily try and apply the same thing nationwide!!
 
Mkuu imenikaa hiyo naomba utupe gharama yake na aina gani mana nilwahi tumia IVMS lakini haina mengi kama mafuta na joto la mashine
 

Hapo penye red...kuna mdau kasema ni kama dola 60 na mwingine kataja Dola 300 hivi, ukweli maswali yako mengi hayajibiki ila nimejaribu kuangalia bei zinategemea na quality ya kifaa,configurations zilizomo, inchi ilikotengenezwa e.g UK the highest is around Pound 650...ukweli unabaki kuwa ukweli... smelling a rat...Kumbuka enzi za kuweka OKO kwenye matairi ya gari
 



Zoom
Mini Real-Time Spy GSM/GPRS/GPS Tracker...

GPS tracker
Products Features: Support non-server based location Location memorization Auto location report Authorize/delete the tracking phone number Cover alert & Voice surveillance...
More info</SPAN>

£40.67
 

Mkuu

1: ulowataja katika ngazi za bank hawahusiki hata kidogo na deal kubwa hivi hapa ni MD wa bank, head of credit na Board lending commettee. Ulowataja ni waku hakikisha transaction/disbursement ya funds walizoprocessa zimefanyika kwa usahihi.
2: ili uwe MD au Director wa bank lazma BOT itoe baraka zake na kama ww ni mtu wa haki sana utaishia kuwa cleark mpaka Yesu arudi.
 
japokuwa wahenga walisema "jini likujualo halikuli likakwisha"
naona zimwi hili (ufisadi) halina huruma japo linatujua kwani
linataka kutumaliza kabisaaa. damn!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…