Mjuzi Wenu
Senior Member
- Nov 18, 2017
- 108
- 108
Wakuu mimi ni kijana ambaye nina ujuzi wa kutengeneza magari licha ya kwamba sina uzoefu wa kutosha katika hii fani pia ni mwanafunzi wa mechanical engineering ngazi ya diploma.
Hivyo nimetokea kushawishika zaidi na kazi ya kuosha magari maana mara nyingi nikipita upande wa mlimani city pembezoni kuna car wash ambazo inaonesha kuna wateja wa kutosha na hii yote ikionesha kuwa hii huduma ni muhimu katika ile sehemu.
Hivyo wakuu nilikuwa naomba nijue kiundani kuhusu hii kazi na uwezekano wa kupata eneo maeneo yale ili niweze kufungua kakibanda cha kuoshea magari na kufanya service ndogo ndogo za magari mana nina ujuzi wa kiasi katika upande wa magari.
Hivyo nimetokea kushawishika zaidi na kazi ya kuosha magari maana mara nyingi nikipita upande wa mlimani city pembezoni kuna car wash ambazo inaonesha kuna wateja wa kutosha na hii yote ikionesha kuwa hii huduma ni muhimu katika ile sehemu.
Hivyo wakuu nilikuwa naomba nijue kiundani kuhusu hii kazi na uwezekano wa kupata eneo maeneo yale ili niweze kufungua kakibanda cha kuoshea magari na kufanya service ndogo ndogo za magari mana nina ujuzi wa kiasi katika upande wa magari.