Car wash

kamwa10

Member
Joined
Jan 16, 2013
Posts
84
Reaction score
20
wadau natafuta sehemu ya kuweka car wash ,ninazo machine tayari natafuta tu eneo ambalo lina maji ya kutoka na lenye biashara km kuna mtu an idea yoyote anieleweshe ndugu zangu.
 
Sema basi upo wapi jombaaaa..........kila mahali kuna mapigo yake.........
 
hata kama hayatoki kila siku but atleast hata 4 times kwa wiki
 
Mkuu una mashine za ainagani tukupe maujuzi mana mashine za kuosha kuna Semi Automatic na nyinginezo ambazo hazihitaji maji mengi hebu funguka tukupe somo
 
Kama utapata eneo lenye shida ya maji, unaweza ukachimba kisima ukaweka tank la ujazo wa kutosha.
 
Nenda kajaribu kuomba pale Kituo cha kujaza mafuta cha ENGINE opposite na Ubungo Plaza hakuna car wash. Hata pale kwenye parking za Ubungo plaza, unaweza kuongea na uongozi wa pale wakakuruhusu kujibanza mle.
 
asante kwa ushauri but nilienda pale plaza wamenikatalia na engine nimekuta kuna car wash tayari,please una idea ingine ya eneo litakalonifaa?
Nenda kajaribu kuomba pale Kituo cha kujaza mafuta cha ENGINE opposite na Ubungo Plaza hakuna car wash. Hata pale kwenye parking za Ubungo plaza, unaweza kuongea na uongozi wa pale wakakuruhusu kujibanza mle.
 
mwenye kujua sehemu ambayo naweza kuweka car wash please,sijapata bado eneo
 
jaribu kufatilia maeneo ya Loyola kurudi hadi ubungo maziwa.. panafunguka kwa biashara za baa sababu ya barabara ya Ubungo maziwa- njiapanda Kigogo
 
Unauza shilling ngapi kuwa wazi tuchukue mikopo tufanye biashara hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…