N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Carl Peters (27 Septemba 1856 - 10 Septemba 1918), alikuwa mtawala wa kikoloni wa Ujerumani, mvumbuzi, mwanasiasa na mwandishi na muasisi mkuu wa koloni la Ujerumani la Afrika Mashariki (sehemu ya jamhuri ya sasa ya Tanzania).
Huyu jamaa aliamini falsafa za Darwinism na falsafa ya Völkisch, mtazamo wake kwa wenyeji ulimfanya kuwa mmoja wa wakoloni wenye utata sana wakati wa uhai wake.
Peters anafahamika sana miongoni mwa watu wa Afrika Mashariki kwa sababu walimsoma kwenye historia kwenye madarasa ya awali ya Historia hasa katika elimu ya Msingi.
Itaendelea...
PICHA: Painting kutoka Chippewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa aliamini falsafa za Darwinism na falsafa ya Völkisch, mtazamo wake kwa wenyeji ulimfanya kuwa mmoja wa wakoloni wenye utata sana wakati wa uhai wake.
Peters anafahamika sana miongoni mwa watu wa Afrika Mashariki kwa sababu walimsoma kwenye historia kwenye madarasa ya awali ya Historia hasa katika elimu ya Msingi.
Itaendelea...
PICHA: Painting kutoka Chippewa
Sent using Jamii Forums mobile app