Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Sijaelewa hapo juu..mwijaku kakamatwa na kuhojiwa ndo akawataja hao?Menina Ni mjinga Tu anatafuta wa kufa nae
Amber rutty kashtakiwa kwa kufanya ngono kinyume na maumbile na ndio maana alipimwa kwa bomba kituo cha polisi..hajashtakiwa kwa kuvujisha video kwa kuwa sio yeye aliyevujishaMaisha sio fair kabisa... amber rutty alipovujisha alikamatwa yeye na jamaa yake..lakini hii wanakamatwa wengine wakati mpuuzi mmoja aliyejirekodi yupo katulia
Maisha sio fair kabisa... amber rutty alipovujisha alikamatwa yeye na jamaa yake..lakini hii wanakamatwa wengine wakati mpuuzi mmoja aliyejirekodi yupo katulia
Ni kweli, mtu unapata wapi ujasiri aiseePole zake ila ajue kama alifanya huo ujinga, amemuua mwenzake. Kuonesha uchafu ule ni kuua mtu. Atapita wapi tena??