Jiko gani? Na dawa ipi? Go to hellUjinga upi, unataka kuaminisha watu kuwa kile uonacho sahihi kwako na wengine waone hivyo? Sasa yenu iko jikoni,keep calm and wait to see
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii nimekoswa maana yake, naona Meko anavua maski ya November makamba tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha yaani anayetofautiana .na wewe au nyie ni robot na kwamba ansishi kwa buku 7...nyie mnaodai kukosoa serikali in maana ni werevu...Kuna tofauti ya kukosoa serikali na kujiingiza kwenye usaliti na uhaini...na kumbuka wakosoaji wazuri wa serikali hawako kwenye social media...Wala usihangaike kumtafuta bali mu-ignore tu. Hili 1954 ni moja ya marobot ya Lumumba. Yanaishi kwa buku 7 na kazi yao 24/7 ni kupita kwenye social media na kutisha wakosoaji, kisifia ujinga wa Serikali na kujibu ovyo.
Tukiwakosoa kwenye mainstream media au mmatupiga risasi au mnatufungulia mashtaka ya kutakatisha fedha. This is our safe heaven. And it pays to criticise from. Tumekemea vitendo vya uuaji na utekaji sana bila kuogopa na tunaona vikipungua. Hatutaacha tutaendeleaHahaha yaani anayetofautiana .na wewe au nyie ni robot na kwamba ansishi kwa buku 7...nyie mnaodai kukosoa serikali in maana ni werevu...Kuna tofauti ya kukosoa serikali na kujiingiza kwenye usaliti na uhaini...na kumbuka wakosoaji wazuri wa serikali hawako kwenye social media...
yakija kutokea ya Libya ndo wataelewa nn tunamaanishaHakuna nyongeza
Magufuli for life.
P
Libya ni Libya na Tanzania ni Tanzania!.yakija kutokea ya Libya ndo wataelewa nn tunamaanisha
Otimbi natimbilio
Inawezekana wengi hawajaelewa hao polisi hapo nyuma ya hao wanaosema JPM for life, wanafanya nini... NI KWAMBA UKIPINGA UTAPONDWA NA VYOMBO VYA DOLA