CAS hakuna kesi ya Morison na Yanga

Aisee niseme tu ukweli na mm nimeingia ktk website ya hawa CAS sijaona kesi ya Yanga hapo ikanibido niamin ..maana nimeona pale lwa mwezi February kesi ambayo imekuwa registered ni moja tu nikaangalia mpaka ya mwaka jana mwezi wa tano sikuona yanga
 
Kea hiyo dunia mzima Kuna kesi hizo tano tu CAS ? Upelekwe milembe wewe. Kuna uwezekano mkubwa tu kuwa Yanga haina kesi CA lakini kwa kuweka kesi tano hapo eti Ndio kesi zilizopo CAS basi nisikuseme Sana, jitafakari......
 
Kea hiyo dunia mzima Kuna kesi hizo tano tu CAS ? Upelekwe milembe wewe. Kuna uwezekano mkubwa tu kuwa Yanga haina kesi CA lakini kwa kuweka kesi tano hapo eti Ndio kesi zilizopo CAS basi nisikuseme Sana, jitafakari......

Ama kweli Nyani ni Nyani tu! Kutoka Feb 12 mpaka March 1 unajua ni siku ngapi?

Sasa kusikiliza kesi 5 ndani ya siku 20 unahisi haiwezekani? Acha kujitia aibu we Uto.
 
Ama kweli Nyani ni Nyani tu! Kutoka Feb 12 mpaka March 1 unajua ni siku ngapi?

Sasa kusikiliza kesi 5 ndani ya siku 20 unahisi haiwezekani? Acha kujitia aibu we Uto.
Off course wewe Ni nyani na huwezi kuacha kuwa nyani. Kea sababu nilichoandika hujaelewa unakurupuka Kama umeshikwa ugoni. Relaxxx
 
Kea hiyo dunia mzima Kuna kesi hizo tano tu CAS ? Upelekwe milembe wewe. Kuna uwezekano mkubwa tu kuwa Yanga haina kesi CA lakini kwa kuweka kesi tano hapo eti Ndio kesi zilizopo CAS basi nisikuseme Sana, jitafakari......
Sikufichi hapa umeandika upumbavu
 
Sisi Yanga kindakindaki tunamtambua Morrison kama mchezaji halali wa Yanga.[emoji25][emoji25][emoji25][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji849][emoji849][emoji849]

In Mwaka Voice.
 
Kama nu kweli,kwsi hakuna hawa viongozi wetu watatujibu nini?
 
Kesi ya Yanga vs Amisi Tambwe ni ya lini? Maana sijaiona kwenye list
 
Uongozi wote wa Yanga inafaa wajiuzulu maana wameshindwa kuongoza klabu... Zaidi sana wamebaki kulalamika na kudanganya wanachama na mashabiki..
 
Kea hiyo dunia mzima Kuna kesi hizo tano tu CAS ? Upelekwe milembe wewe. Kuna uwezekano mkubwa tu kuwa Yanga haina kesi CA lakini kwa kuweka kesi tano hapo eti Ndio kesi zilizopo CAS basi nisikuseme Sana, jitafakari......
Nenda kaongezee za kwako zifikie idadi unayotaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…