Case closed, mbabe wa dunia kashajulikana

Case closed, mbabe wa dunia kashajulikana

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Russia ndiyo hivyo, Tumaini pekee lilikuwa Kwa Mchina. Na yeye Jana ndiyo hivyo. Kapigwa biti na MBABE na wote tumelishuhudia pambano live bila chenga.

Yale maneno ya XI (you will be met with fire) tulikuwa tunayasubiria Kwa hamu lakini ndiyo hivyo wote tumeona kilichotokea. Sasa case ni closed bingwa Kashajulikana.

Ubishi umeisha. Tukubali matokeo
 
Russia ndiyo hivyo, Tumaini pekee lilikuwa Kwa Mchina. Na yeye Jana ndiyo hivyo. Kapigwa biti na MBABE na wote tumelishuhudia pambano live bila chenga. Yale maneno ya XI (you will be met with fire) tulikuwa tunayasubiria Kwa hamu lakini ndiyo hivyo wote tumeona kilichotokea. Sasa case ni closed bingwa Kashajulikana. Ubishi umeisha. Tukubali matokeo
Hapo kaenda bibi tu vipi angeenda biden mwenyewe
 
Russia ndiyo hivyo, Tumaini pekee lilikuwa Kwa Mchina. Na yeye Jana ndiyo hivyo. Kapigwa biti na MBABE na wote tumelishuhudia pambano live bila chenga. Yale maneno ya XI (you will be met with fire) tulikuwa tunayasubiria Kwa hamu lakini ndiyo hivyo wote tumeona kilichotokea. Sasa case ni closed bingwa Kashajulikana. Ubishi umeisha. Tukubali matokeo

KMMK mm nilipata midadi tuu jins bibi alikuwa ana land na lile dude USAF hatar saaana china wakawa wamevimba macho tuu huku anga zima la taipei likiwa kiganjan kwa wanaume mpak Beijing
 
Hao hao China unaoita wa vitu fake anasambaza bidhaa zake ulaya,marekani.Anatengeneza vitu kutokana na uwezo wenu SASA alete vitu original mtaweza bei yake nyie nchi masikini.
China anatengeneza mpaka maziwa feki anawaua watoto wa kichina maana maziwa yenye viwango wachina hawawezi kununua maana ni maskini na mafukara
 
China anatengeneza mpaka maziwa feki anawaua watoto wa kichina maana maziwa yenye viwango wachina hawawezi kununua maana ni maskini na mafukara
Hivi umetumia akili kuandika haya?wamewekwa no 2 kiuchumi duniani na pia wanamabilionea wengi Sana kama Marekani bidhaa feki zinaletwa kwenu nchi masikini Kwa Sababu hamna hela ya kununua bidhaa za maana na wanapeleka bidhaa za viwango ulaya na marekani.
 
Back
Top Bottom