Hapo kaenda bibi tu vipi angeenda biden mwenyeweRussia ndiyo hivyo, Tumaini pekee lilikuwa Kwa Mchina. Na yeye Jana ndiyo hivyo. Kapigwa biti na MBABE na wote tumelishuhudia pambano live bila chenga. Yale maneno ya XI (you will be met with fire) tulikuwa tunayasubiria Kwa hamu lakini ndiyo hivyo wote tumeona kilichotokea. Sasa case ni closed bingwa Kashajulikana. Ubishi umeisha. Tukubali matokeo
Ongezea 'Nyama' kiasi bado sijakupata vyema.Sasa case ni closed bingwa Kashajulikana. Ubishi umeisha. Tukubali matokeo
Russia ndiyo hivyo, Tumaini pekee lilikuwa Kwa Mchina. Na yeye Jana ndiyo hivyo. Kapigwa biti na MBABE na wote tumelishuhudia pambano live bila chenga. Yale maneno ya XI (you will be met with fire) tulikuwa tunayasubiria Kwa hamu lakini ndiyo hivyo wote tumeona kilichotokea. Sasa case ni closed bingwa Kashajulikana. Ubishi umeisha. Tukubali matokeo
Kama wakina nani ?🤔Wajamaa kufikiria ni ngumu mno
China ni wa vitu fake hivyo hata rais wao akitoa kauli zingine fake na yeye mwenyewe rais ni fake vilevileAmenisabishia hasara ya popcorn ndoo nzima na bando la jero kufuatilia jinsi nukes zinavyorushwa kama njugu
BTW China kachagua upande wake sahihi alioona
NonsenseWajamaa kufikiria ni ngumu mno
Madege yote na navies kumbe anatishia tu😅😅China ni wa vitu fake hivyo hata rais wao akitoa kauli zingine fake na yeye mwenyewe rais ni fake vilevile
Hao hao China unaoita wa vitu fake anasambaza bidhaa zake ulaya,marekani.Anatengeneza vitu kutokana na uwezo wenu SASA alete vitu original mtaweza bei yake nyie nchi masikini.China ni wa vitu fake hivyo hata rais wao akitoa kauli zingine fake na yeye mwenyewe rais ni fake vilevile
China anatengeneza mpaka maziwa feki anawaua watoto wa kichina maana maziwa yenye viwango wachina hawawezi kununua maana ni maskini na mafukaraHao hao China unaoita wa vitu fake anasambaza bidhaa zake ulaya,marekani.Anatengeneza vitu kutokana na uwezo wenu SASA alete vitu original mtaweza bei yake nyie nchi masikini.
walikuwa wanakata mauno tu kama tiara na vijidege na vimeli vyaoMadege yote na navies kumbe anatishia tu😅😅
🤣🤣🤣China ni wa vitu fake hivyo hata rais wao akitoa kauli zingine fake na yeye mwenyewe rais ni fake vilevile
Nchi za kidikiteta huwa wanakuwa na uchumi fake unaonekana kwenye makaratasi tu. Hatujasahau uchumi wetu wa Kati.China anatengeneza mpaka maziwa feki anawaua watoto wa kichina maana maziwa yenye viwango wachina hawawezi kununua maana ni maskini na mafukara
Kwa hiyo wewe unajua Sana kuliko IMF walioweka China no 2 kiuchumi?Nchi za kidikiteta huwa wanakuwa na uchumi fake unaonekana kwenye makaratasi tu. Hatujasahau uchumi wetu wa Kati.
Hivi umetumia akili kuandika haya?wamewekwa no 2 kiuchumi duniani na pia wanamabilionea wengi Sana kama Marekani bidhaa feki zinaletwa kwenu nchi masikini Kwa Sababu hamna hela ya kununua bidhaa za maana na wanapeleka bidhaa za viwango ulaya na marekani.China anatengeneza mpaka maziwa feki anawaua watoto wa kichina maana maziwa yenye viwango wachina hawawezi kununua maana ni maskini na mafukara