Case Reviews

Case Reviews

Chief

Platinum Member
Joined
Jun 5, 2006
Posts
3,588
Reaction score
3,194
Wanasheria naomba msaada wenu. Kesi ikishaamuliwa, na aliyeshindwa Kesi, alikiri kosa tangu mwanzo na hakukata rufaa.

1. Je, Kesi hiyo yaweza kufanyiwa review na mahakama ya juu zaidi ? Kwa kipengele lipi cha sheria?
2. Je, kuna ukomo wa muda baada ya hapo Kesi hiyo haiwezi kufanyiwa review?
3. Kesi gani yaweza kufanyiwa review?

Nitashukuru kwa msaada wenu
 
Wanasheria naomba msaada wenu. Kesi ikishaamuliwa, na aliyeshindwa Kesi, alikiri kosa tangu mwanzo na hakukata rufaa.

1. Je, Kesi hiyo yaweza kufanyiwa review na mahakama ya juu zaidi ? Kwa kipengele lipi cha sheria?
2. Je, kuna ukomo wa muda baada ya hapo Kesi hiyo haiwezi kufanyiwa review?
3. Kesi gani yaweza kufanyiwa review?

Nitashukuru kwa msaada wenu
Kukataa rufaa zimepita siku zake? Halafu unaweza kukata rufaa ukiweka sababu kuwa uliona hakimu hatanitendea haki ndiyo kutaka kesi iishe kwake ili nikate rufaa ili kesi yangu ifunguliwe kwenye ngazi ingine ya juu ya mahakama
 
Back
Top Bottom