Wanasheria naomba msaada wenu. Kesi ikishaamuliwa, na aliyeshindwa Kesi, alikiri kosa tangu mwanzo na hakukata rufaa.
1. Je, Kesi hiyo yaweza kufanyiwa review na mahakama ya juu zaidi ? Kwa kipengele lipi cha sheria?
2. Je, kuna ukomo wa muda baada ya hapo Kesi hiyo haiwezi kufanyiwa review?
3. Kesi gani yaweza kufanyiwa review?
Nitashukuru kwa msaada wenu
1. Je, Kesi hiyo yaweza kufanyiwa review na mahakama ya juu zaidi ? Kwa kipengele lipi cha sheria?
2. Je, kuna ukomo wa muda baada ya hapo Kesi hiyo haiwezi kufanyiwa review?
3. Kesi gani yaweza kufanyiwa review?
Nitashukuru kwa msaada wenu