Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Ok, sawa.
Hata kama haukuvimaliza vitabu vya Chase vyote lakini it's marvelous katika level ya O-LEVEL, lakini ulisoma na vile vingine kibao ulivyoorodhesha, kwa wanafunzi wengi kusoma kitu ambacho ni nje ya vile vilivyoko kwenye Sylubus ni ngumu, mimi niliishia kusoma tu Things fall apart, The river between, songs of Lawino na vingine kwa ajili ya kujibia mitihani tu,
Of course kama mimi mazingira ya nyumbani hayakuwa condusive , wazee wangu ni wakulima kijijini kwa hiyo ukitoka shule unaambiwa ukachunge ng'ombe, ndani hamna kitabu wala nini.
Kwa hiyo sio kweli kwamba English medium ni bora, mimi nilisoma na wa English medium, lakini wote, like a coincidence A-LEVEL walikwama, and that was that.
Hata kama haukuvimaliza vitabu vya Chase vyote lakini it's marvelous katika level ya O-LEVEL, lakini ulisoma na vile vingine kibao ulivyoorodhesha, kwa wanafunzi wengi kusoma kitu ambacho ni nje ya vile vilivyoko kwenye Sylubus ni ngumu, mimi niliishia kusoma tu Things fall apart, The river between, songs of Lawino na vingine kwa ajili ya kujibia mitihani tu,
Of course kama mimi mazingira ya nyumbani hayakuwa condusive , wazee wangu ni wakulima kijijini kwa hiyo ukitoka shule unaambiwa ukachunge ng'ombe, ndani hamna kitabu wala nini.
Kwa hiyo sio kweli kwamba English medium ni bora, mimi nilisoma na wa English medium, lakini wote, like a coincidence A-LEVEL walikwama, and that was that.
Now now now now, namaanisha nilimaliza kusoma vitabu fulani vya Chase.
Ningevipata vyote probably ningeweza kuvimaliza, lakini sikubahatika kuvipata vyote. Chase had that page turning style ambayo nilikuwa naipenda sana, it is addictive.
Sasa mtu kama wewe una vitabu hivyo, kama una watoto hapo nyumbani, wanaanza kuona mazingira ya vitabu nyumbani (although some of the Chase covers are not exactly child friendly, but in any case I am referring to books in general).
Kwa mtoto mdadisi, yale mazingira ya nyumbani yanaweza kuwa stimulant kubwa ya kujua lugha kuliko hata shuleni.
Mimi nakumbuka nilivyokuwa mdogo nilikuwa nasoma mpaka Engineering plans zilizokuwa nyumbani, sasa hapo mtu unaanza kupata udadisi kuhusu hizi plans zinasomwaje, hivi vialama vina maana gani etc kabla hujajua trigonometry.
Ndiyo maana naona umuhimu wa kuhoji hii dhana ya kutafsiri "watoto wanaoenda english medium wanajua zaidi kiingereza" kumaanisha kwamba english medium schools zinawapa advantage ya kujua zaidi kiingereza.
Obviously kufundishwa kwa kiingereza kunachangia, lakini kwa kiwango gani? Na kiwango gani kinachangiwa na mazingira ya nyumbani?
Inawezekana mtu kwao wana Time Magazine subscription, akiwa bored anajisomea, anajenga msamiati na uelewa wa Kiingereza, halafu akija kuonekana anajua, sifa zinaenda kwenye english medium school.