Hii ni Jetmbona siyo helcopter?Au macho yangu yanaona hizo picha vibaya?
Kwani hii ni Chopa?Msukuma pia aliyonayo sio kama hiiAman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Yule rapa mtata kunako game anyeongoza kujaza viwanja vikubwa ndan ya africa na nje ya africa casper nyovest ndo kawa rapa wa kwanza africa kununua helicopiter lake binafis
Rapa huyo kanunua choper lake ndan ya huu mwaka mpya
Choper lake ni kubwa sana na la kiwango cha hatar sana kama lile la king msukuma alilomuazimisha lowasa
View attachment 670967View attachment 670968View attachment 670970
LONDON BOY
Unaijua chopper wewe?Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Yule rapa mtata kunako game anyeongoza kujaza viwanja vikubwa ndan ya africa na nje ya africa casper nyovest ndo kawa rapa wa kwanza africa kununua helicopiter lake binafis
Rapa huyo kanunua choper lake ndan ya huu mwaka mpya
Choper lake ni kubwa sana na la kiwango cha hatar sana kama lile la king msukuma alilomuazimisha lowasa
View attachment 670967View attachment 670968View attachment 670970
LONDON BOY
Huwezi hata pata nauli ya ndege sana sana upande bodabodaSaa moja jion ndo inakuwa mwisho wa kuonana jf, naenda kupanda ndege mwqnza airpot saa moja jion
KamuulizeKingmsukuma anapesa chafu mno ivi anazitoaga wapi?