LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Hivi majuzi shirikisho la riadha limebadilisha sheria zake zikiwalenga wanawake ambao wamekuwa na maumbule na nguvu kama za wanaume kutoshindanishwa na wanawake wengine kutokana na maumbile yao
Shirikisho la riadha linaazimia kuwapambanisha wanawake hao na wanaume katika mashindano ya riadha
Tukija kwa mwanadada Caster semenya ambaye baada ya kusikia habari hiyo aliipokea kwa jazba huku akisema kuwa anajua watu wanamchukia na si kingine kumbe ni kweli shirikisho la riadha halikukosea maana haiwezekani mtu ana maumbile na nguvu kama mwanaume alafu ashindanishwe na wanawake kamili
Tena caster semenya kwa msisitizo ameowa kabisa yaani ni mme wa mtu alafu anataka ahurumiwe kupiga hela kwa mgongo wa wanawake
Huyu dada ni kituko
Shirikisho la riadha linaazimia kuwapambanisha wanawake hao na wanaume katika mashindano ya riadha
Tukija kwa mwanadada Caster semenya ambaye baada ya kusikia habari hiyo aliipokea kwa jazba huku akisema kuwa anajua watu wanamchukia na si kingine kumbe ni kweli shirikisho la riadha halikukosea maana haiwezekani mtu ana maumbile na nguvu kama mwanaume alafu ashindanishwe na wanawake kamili
Tena caster semenya kwa msisitizo ameowa kabisa yaani ni mme wa mtu alafu anataka ahurumiwe kupiga hela kwa mgongo wa wanawake
Huyu dada ni kituko