Kama ni Tv ya kawaida angalia zile waya za Njano, nyeupe na Nyekundu hakuna TV out?Ni Digital TV ina support HDMI, USB, AV, DTB
ZKama ni Tv ya kawaida angalia zile waya za Njano, nyeupe na Nyekundu hakuna TV out?
Nyaya hizo za hizo langi zipo mara mbili kwa nyuma pamoja na upande wa TV, sasa niziunganishe vipi mkuuKama ni Tv ya kawaida angalia zile waya za Njano, nyeupe na Nyekundu hakuna TV out?
Angalia kunakuwa na maandishi kwa pembeni kama tv in na tv out. Ama component out etc. Si tv zote zinakua na hii optionHizo nyaya
Z
Nyaya hizo za hizo langi zipo mara mbili kwa nyuma pamoja na upande wa TV, sasa niziunganishe vipi mkuu
Piga picha?Kwa upande wa nyuma wa nyaya hzo tatu zimeandikwa tu neno out