ngayonga953
Member
- Mar 16, 2015
- 15
- 1
Habari Jamiiforums!
Nahitaji kuaply diploma ya ualim, lakini pale kwenye categories kuna NTN6 NA NTN7 mm ni fresh from school, nifanyeje? Au kuna categories zingine sijaziona.
Naomba msaada
Nahitaji kuaply diploma ya ualim, lakini pale kwenye categories kuna NTN6 NA NTN7 mm ni fresh from school, nifanyeje? Au kuna categories zingine sijaziona.
Naomba msaada