ngayonga953 Member Joined Mar 16, 2015 Posts 15 Reaction score 1 Apr 23, 2015 #1 Habari Jamiiforums! Nahitaji kuaply diploma ya ualim, lakini pale kwenye categories kuna NTN6 NA NTN7 mm ni fresh from school, nifanyeje? Au kuna categories zingine sijaziona. Naomba msaada
Habari Jamiiforums! Nahitaji kuaply diploma ya ualim, lakini pale kwenye categories kuna NTN6 NA NTN7 mm ni fresh from school, nifanyeje? Au kuna categories zingine sijaziona. Naomba msaada
D Deogratius n JF-Expert Member Joined Jan 10, 2015 Posts 1,193 Reaction score 254 Apr 23, 2015 #2 kabla huja aply soma kwanza guide book ya education ya ordinary au higher diploma category zimewekwa